Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe ndio maana hawawezi kujenga hata km 5 za reli kwa pesa za ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mumeshindwa kusambaza vitabu mashuleni, sasa hzo hela za ndani ziko wapi..
Madarasa pia nchi nzima yana upungufu bado mnajitutumua sai, madawati pia bado ni janga la taifa..

Nyie watu mumerogwa
 
Hizo ni porojo za mitaani au fake news lete ushahidi kama Hakuna funga mjadala

Hapa kuna MOI institute , kuna JKCI institute , kuna Benjamin William mkapa hospital kuna mloganzila institute, kuna kcmc hospital kuna bugando hospital wanafanya upasuaji wa aina zote wakenya wanakuja huku kutibiwa halafu Raisi wa nchi akatibiwe kwa strategically competitor inaingia akilini ?
Kenya wamezidi nini Tanzania kwa Tiba?

South Africa Sawa.

Burundi unafananisha na Tanzania wewe unafikiri sawASawa kweli ???
Km sio wakenya hata kuugua kw magu na kifo chake mpka leo mngelikua mnalishwa matangapori hku samia akibaki kuwa makamu wa raisi
 
Hizo ni porojo za mitaani au fake news lete ushahidi kama Hakuna funga mjadala

Hapa kuna MOI institute , kuna JKCI institute , kuna Benjamin William mkapa hospital kuna mloganzila institute, kuna kcmc hospital kuna bugando hospital wanafanya upasuaji wa aina zote wakenya wanakuja huku kutibiwa halafu Raisi wa nchi akatibiwe kwa strategically competitor inaingia akilini ?
Kenya wamezidi nini Tanzania kwa Tiba?

South Africa Sawa.

Burundi unafananisha na Tanzania wewe unafikiri sawASawa kweli ???
Jamaa umekasirika mpka ukataja hospitali zenu best of best, nje ya hzo ni magofu tu vifaa sufuri ndio manake IMF wameonea huruma
 
Kila mtanzania ana kiwanja chake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tena huku viwanja ni sawa na bure 😃👇👇
4m tsh na bado unalipa kwa awamu kidogo kidogo tena 1000sqm
C9F62D95-6737-4980-90AA-D3CC57B31E6B.jpeg
9A2A674B-CDAE-4E30-8CD8-C8CBACDAE2BD.jpeg
 
tena huku viwanja ni sawa na bure [emoji2][emoji116][emoji116]
4m tsh na bado unalipa kwa awamu kidogo kidogo tena 1000sqm
View attachment 2094937View attachment 2094938
Hehehe!!hela watoe wapi wakati mtu akilima mihodo anaona keshamaliza kila kitu[emoji1787][emoji1787]ndio manake kw hyo hela na bado vinawashinda

Yani TSH 4m ndio ilipwe kidogo kidogo kiwanja cha 100sqm, ingelikua wakenya wana uwezo wa kuvinunua hko na kuvihamisha hku basi sai vingelikua vimeisha vyote hata kw tsh 5m
 
unaijua wewe kuliko sisi au ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umekasirikaee, moshi nilipokua shule likizo karibia zote hko mzee..we hunambii kitu kabisa..

Bibi alipokufa(mzaa mama) ndio safari zikakatika ikawa ni tanga mombasa
 
Hehehe!!hela watoe wapi wakati mtu akilima mihodo anaona keshamaliza kila kitu[emoji1787][emoji1787]ndio manake kw hyo hela na bado vinawashinda

Yani TSH 4m ndio ilipwe kidogo kidogo kiwanja cha 100sqm, ingelikua wakenya wana uwezo wa kuvinunua hko na kuvihamisha hku basi sai vingelikua vimeisha vyote hata kw tsh 5m
unaona sasa unavohangaika
4m kwa kulipa miaka mitatu au minne ni pesa ndogo sana bro 😂😂😂 yani ni pesa ndogo sana tena sana
 
Umekasirikaee, moshi nilipokua shule likizo karibia zote hko mzee..we hunambii kitu kabisa..

Bibi alipokufa(mzaa mama) ndio safari zikakatika ikawa ni tanga mombasa
mm nikukasirikie wewe kwa lipi budaa 😂😂😂 mm nakwambia kisumu haitoboi kwa moshi kwenye kila kitu kwanzia living standards mpaka umaskini
 
mm nikukasirikie wewe kwa lipi budaa [emoji23][emoji23][emoji23] mm nakwambia kisumu haitoboi kwa moshi kwenye kila kitu kwanzia living standards mpaka umaskini
Bwahahaaa!!endelea kunambia, uzuri ukweli naujua[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom