Alikuwa anajiamini sana, ndivyo wasukuma walivyo ni watu wanaojiamini mnoo.Huyu mzee nilichokuwa nampendea ni ujasiri wake. Hata mimi naomba Mungu anipe ujasiri kama huu. Yaani Wageni wanakuja Ikulu ya Tanzania kumtembelea mzee kisha mzee anawapa juice ile ya rangi ya kuchanganywa na maji na peremende. Hahaha
View attachment 2089712
Mbona SGR ya Ethiopia ipo linked na Port Djibouti siku nyingi! Labda useme link ya SGR Ethiopia na Asmara Eritrea!Yani ni ujinga waliofanya yani hawa jamaa kitu kitakacho wasevu labda wajenge SGR mpaka mpakani na ithiopia ila bandari tuu ya lamu ni kazi bure kwa sababu we fikiria gharama za kusafirisha kwa reli haiwezi kuwa sawa na kusafirisha kwa malori na kinginee wachina wanampango wakulink SGR ya ithiopia na bandari ya Djibouti kwaiyo yajayoo yanafurahisha😂😂
Nimejifunza kitu hapo. Kujiamini kunaweza kukupeleka mbali sana. Hakuna haja ya kuogopa ogopa katika dunia hii.Alikuwa anajiamini sana, ndivyo wasukuma walivyo ni watu wanaojiamini mnoo.
Zina operate Kama Saccos zingine za kawaidaBut still zina operate in tz
67 sio 65Life expectancy ya tz umechemsha ni miaka 65
Yah EritreaMbona SGR ya Ethiopia ipo linked na Port Djibouti siku nyingi! Labda useme link ya SGR Ethiopia na Asmara Eritrea!
ww umejuaje kama juice ya kuchanganywa na rangi?? ww ndio ulikua ikulu??🤣🤣🤣Huyu mzee nilichokuwa nampendea ni ujasiri wake. Hata mimi naomba Mungu anipe ujasiri kama huu. Yaani Wageni wanakuja Ikulu ya Tanzania kumtembelea mzee kisha mzee anawapa juice ile ya rangi ya kuchanganywa na maji na peremende. Hahaha
View attachment 2089712
Chizi wewe, masoko yote ya Uganda na Rwanda mliyokua mkimiliki tumeshawafurusha, Sasa hivi tumekamata masoko yote ikiwemo Kenya, nini unazungumza ujinga hapa?Sisi ni nyang'au hilo usisahau, lazima tutawanyang'anya biashara kadhaa.., watch, na usilie wao si Tz, we rule Eastern Africa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Usitumie nguvu nyingi, wakenya wengi Wana uwezo mdogo Sana wa akiliIla hawa wakenya wanaakili za kipumbavu sana.. iko hiv, kusafirisha mizigo kutoka Ethiopia mpaka Djibouti zamani walitumia malory lakini ili kurahisisha zaidi jamaa wakatengeneza reli ili mizigo ya Ethiopia iingizwe Djibouti then isafirishwe kwa reli kuelekea Ethiopia... Ajabu eti wakenya wanataka wawe wanapokea na kuingiza mizigo ya Ethiopia kwa aslimia kubwa kuliko nchi yoyote EA
kupitia mradi wa Lamu port, bila miundombinu wezeshi yoyote..
huu ni uchizi na kuna matahira tukiyaambia huu mradi ni white elephant yanabisha kwa kelele kama hizi
Dah .!
Hizi sasa hasira sio bureZina operate Kama Saccos zingine za kawaida
hehe
Wakisii nini
Maamuzi tu hyo ni investment ya less than 300billion tsh..kwq viwanja vinnesuala kama hili, Tanzania tunakwama wapi kujenga viwanja vipya 3 ?
ujue sionagi ugumu Tanzania kuwa na viwanja vya kisasa vya mpira wa miguu angalau vinne kama cha Mkapa stadium
Naunga mkono mkuu😋😋😋
Kaka haiiitaji hata mkopo revenue tu za ndani..pia, mfano. hiv kama tunasaini mikopo ya zaidi ya $1 b kujenga SGR (mpka sasa zishatumika zaid ya $3 b) .. tunashindwa kuomba mkopo hata wa $500-700 m tujenge viwanja vi3, indoor arena hata mbili (for michezo yote ya indoor) na hata angalau international swimming pool moja kubwa
Hiyo menu itakuwa ya kutoka Kisii county,Geteri!😆😆