Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo unataka kusema hyo receipt ni ya jana?
tarehe na saa mzee
Screenshot_20220120-145701_Gallery.jpg
 
Badala reasoning yako uchwara ungechukua hio data ya before sgr tuone ilikua ngapi
Muhimu ni kwamba, wakati Kenya mnatumia kigezo cha utumiaji wa mafuta mengi kuwa ni "positive" na inaonekana mnazidi kuongeza matumizi ya mafuta, sisi tunatazama "opposite" kabisa na ninyi, ndio sababu tuaongeza uzalishaji wa umeme na gesi, tunabadili matumizi ya mafuta katika maeneo mengi na tuna "replace"umeme na gas.

Mitambo mingi ya kuzalisha umeme ambayo awali ilikua ikitumia mafuta, Sasa inatumia gas, viwanda vingi ambavyo awali vilikua vinatumia mafuta, ikiwemo migodi ya madini, Sasa hivi vinatumia gas au umeme.
 
poleni lakini in conclusion tu:-
nyinyi waTz mulinivamia sana jana,... watu 100 kwa mtu1.! muliniaibisha sana mbele ya wakenya wenzangu.. sasa kina nairobiwalker, don yf, kanairo, teargas, simba254, komora96, kenpaulite, iamlee, mashashola, mutaitina, mwathadan, Thebest007, tony254,.. unafikiri wataniona aje.? kama mume bwege ama mume hooi. hio ndio raha yenu sana.
but in the process of your argument, i learnt somethng thts very common with almost all of you tanzanians, that one should not take your critics seriously, its like your nature to inflict pain into ones life, you like picking on every minor, petty, negligible matters and magnify it as if a major thing!. one should not take your words personal, less you don't want to see the next decade due to pressure. nxt tyme i come into such a similar situation like yesterday, i prms not to use much energy to defend myself. i ll just ignore, as kenpaulite advised me. afterall u don't even know me in the first place. ama ata tutakutana wapi?. you don't even add an inch into my life afterall. so why stress myself
Mwanaume gani unalialia kiasi hicho aise!
 
nataka u mark leo. 19/01/2022. niko na ksh491,201/- ikiwa side hustle tu!. bila kuongeza salo. nataka niku ng'arie, ndio ujue maana civil engineer wa serkali ya kenya ni mtu wa aina gani.
nb: i ll be updating you every 19th of every month till december... sawa!
utajua sisi wa kenyareé ni kina nani. watu wa per capita kubwa

matters engineering, taking contractors for a short course. a 3day seminar for invited contractors (grade 8 and above)
State Department Of Public Works View attachment 2088691View attachment 2088688
Lkn mi sioni km ina haja hyo buda, maisha yako ni yako mtu asikupangie
 
kenya still remain east african economic powerhouse. kenya's equity bank and kcb bank are very active in tanzania. infact they are the leading banks in tanzania..! other countries with its branches incd: uganda, drc, ssudan, rwanda, burundi, ethiopia.
also, nakumatt and uchumi supermarkets were the leading retail stores in tanzania, and also in all other eastern africa countries. i've never heard of any tanzanian thing! in this country.. pengine collaboration na wasafi records pekee
This is not true.biggest banks in Tanzania are CRDB and NMB many Tanzanians do not use those banks.No research no right to speak.
 
Back
Top Bottom