Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi advert za coca cola za Christmas's ndizo watanzania walikuavwanaringa nazo ambazo coca cola ilifanya all over huku Hadi ndanibya estates Na hakuna aliye babaika nayo hehe ushamba upon Tanzania Ni mkubwa
 
Achana na Dom wewe, tatizo la Tanzania ni hatuna photographers wa maeneo

Hii ni michese Dom
Angalia
Quality of housings
Neighborhood
Streets
Lights
Marks

Nairobi huikuti hii kabisa, Dom na yenyewe ni kubwa mara kibao kwa Nairobi so Nairobi kupigwa na Dodoma ni kitu cha kawaida, Dom hakuna slums kabisa

View attachment 2079122
Wuen to have told you Wacha just listen to me there are no worth estates hapo
 
Hivi advert za coca cola za Christmas's ndizo watanzania walikuavwanaringa nazo ambazo coca cola ilifanya all over huku Hadi ndanibya estates Na hakuna aliye babaika nayo hehe ushamba upon Tanzania Ni mkubwa

Point haikua advert za coca-cola, point ni BRT buses bro which you guys don't have.. advert za coca-cola zipo kila mahali baba
 
hao wakenya ni wajinga sana wanategemea street rami za estate zinazomilikiwa na single person au group la watu flani,ambazo kwa estate ni kawaida kuwa kwenye mazingirs hayo ,

ukiwasikia hapa kams hujawahi kutembea kenya utadhani street zao zote zina rami na taa,kumbe indeep kwa ground ni 0.2% tu ya jiji zima la nairobi
Hakuna developers wah estates lazima waweke Lami hawapari wateja was kununua nyumba Wala kukodi Kuna areas yes hakuna Lami lakini chache and unapata either ilikua ikangoka au Ni sehemu Haikua planned watu walIjenga tu
 
Korosho za Tanzania zinaongezewa thamani hapa hapa bongo 👇
IMG_20220113_113610_809.jpg
IMG_20220113_113624_038.jpg
nafurahi sana kuona tz nchi yangu inafanya mambo mazuri kama haya.. yo hizi korosho ni tamu mno
 

Tofauti ya hizo picha mbili ni, picha moja inaonesha mwanajeshi aliejitengeza vizur kwa kufanana na majani akiwa kwenye maonyeshesho, picha nyinginye inaonesha wanajeshi walio jitengeneza vizur kufanana na majani wakiwa chini ya mti .. There for, ni two different pictures, same personnel but different contexts
 
Back
Top Bottom