Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwani makampuni duniani hayakufungwa au hujui hata kwann diesel na petrol kwann zilishuka bei vibaya sana??😂😂😂
So makampuni za kutengeneza equipment meant for Tanzania pekee ndio zilifungwa?😂😂😂 Mbona nchi zingine ujenzi ulikuwa unaendelea tu vizuri?
 
Huwa ukiambiwa ukweli unasema ni povu😂😂
ukweli wakat reli inaeleke mwanza 1200km ww unaongelea mambo ya ukweli gani??🤣🤣 nyinyi ile reli ya miaka 100 iliopita imegeuka kua white elephant au nadanganya
 
So makampuni za kutengeneza equipment meant for Tanzania pekee ndio zilifungwa?😂😂😂 Mbona nchi zingine ujenzi ulikuwa unaendelea tu vizuri?
sio tanzania hata nyinyi muliathirika kwa namna yoyote na dunia nzima 😂😂 unatafuta kisingizio cha kutokea hapa hutoki
 
1)Five international stadia
2)Laptop per child
3)Five big water dams
4) Galana kulalu project
5)SGR to Kampala and Kigali
6)
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
1641809929593.png
 
Makubaliano yalifikiwa wakati wa Kikwete ila aliyeyasimamisha ni Magufuli. Isitoshe kulikuwa na makubaliano ya ziada ambayo yalitakiwa yafikiwe ila Magu kwa kawaida yake akaleta mtafaruku kwenye majadiliano hayo akisema kwamba investors wanataka kuwakandamiza Watanzania. Matokeo yake ni kwamba mumekosa kutumia rasilimali yenu huku jirani yenu akijitayarisha kuanza kuzalisha gesi by June this year.
Ulitaka tuingie mkataba wa kipuuzi kama ule wa SGR Kenya?
 
Back
Top Bottom