NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
yes yes!!.. i knew i was right. this is not Tz but an ANC rally in kwazuluNatal province SAWewe bwana IQ yako ni ndogo some time unatuhaibisha sana kwenye huu uzi ,sasa hapo umeonge nini? Mwenyewe tayari kasema kuwa hiyo picha ni tz![]()
wewe ndio ngenderek kabisa.. hii flag ya ANC⁸Hiyo picha ya chini ni kampeni za CCM ngenderek wewe.
Naona wanasiasa wenu wanachukua picha za kampeni za CCM na kuwahadaa wajinga kama wewe kuwa hapo ni Kenya.
Haihitaji kutumia nguvu nyingi kugundua wewe ni kabila gani.![]()
Hiyo picha ya chini ni kampeni za CCM ngenderek wewe.
Naona wanasiasa wenu wanachukua picha za kampeni za CCM na kuwahadaa wajinga kama wewe kuwa hapo ni Kenya.
Haihitaji kutumia nguvu nyingi kugundua wewe ni kabila gani.![]()
so ka mi mkale aafu?!..Mkalenjini huyo 😂😂 kashajianika
Haka kaflyover kadogo ndio kazi ya GDP, kamegharimu nini cha kujisifu .kwetu kitu kidogo sana.
I don`t argue with a person coming from a country with only one flyover.Haka kaflyover kadogo ndio kazi ya GDP, kamegharimu nini cha kujisifu .kwetu kitu kidogo sana.
Kwani ujui mimi naandika kiswaili wewe unaandika kiswahili ungewauliza wazoefu jf wange kuambia ,ulipo sema mm natoa comment za ovyo nikaona nikufuatilie za kwako ...nikacheka sanaMtu asiyejua kuandikia anajadili kuhusu IQ!
Wonders shall never end.

yani comment zako hapa jf nimefuatilia nimeona hata like ukipata ni bahati tu ,tena like ni moja tu

Sasa wewe unajua historia ya maisha yangu kwenye swala la lugha usithubutu, unipati mm najua lugha 6 na lugha ya kiswahili siyo niliyo somea elimu yangu ndiyo maana unaniona kama sijui kuandika ila ninajua kuandika nikitaka kuandika vizuri naweza ,....mbona wanafunzi ukichati nao utakimbia namna wanavyo andika kiswahili chao au ujawai kuchati na wanafunzi au kuona chati za magrupu yao ? Au unadhani ni lazima uandike kama upo kwenye chumba cha mtihani , sasa acha nikuonyeshe lugha ninazo zijuaMtu asiyejua kuandikia anajadili kuhusu IQ!
Wonders shall never end.
sasa Tanzania kuna flyovers hama vidimbwi😁😁😁..Hawa wachawi banaHaka kaflyover kadogo ndio kazi ya GDP, kamegharimu nini cha kujisifu .kwetu kitu kidogo sana.
The Sunk Cost Fallacy njoo beba mtu wako.Sasa wewe unajua historia ya maisha yangu kwenye swala la lugha usithubutu, unipati mm najua lugha 6 na lugha ya kiswahili siyo niliyo somea elimu yangu ndiyo maana unaniona kama sijui kuandika ila ninajua kuandika nikitaka kuandika vizuri naweza ,....mbona wanafunzi ukichati nao utakimbia namna wanavyo andika kiswahili chao au ujawai kuchati na wanafunzi au kuona chati za magrupu yao ? Au unadhani ni lazima uandike kama upo kwenye chumba cha mtihani , sasa acha nikuonyeshe lugha ninazo zijua
1)English wastani
2)Kiswahili
3)Kirusi
4)kikorea wastani
5)kinyarwanda wastani
6) kihaya ...nakijua kidogo kama 40%kihaya na kinysrwanda nakijua wastani kwa sababu nilifanya kazi bukoba na rwanda mm siyo mtu wa huko
Lugha niliyo somea shule ya mwingi na sec ni KIRUSI
Kama utaona nakidanganya nijaribu kwa hizo lugha yoyote
Урок русского языка



Maumivu ya nini hapa ni ngoma nzito
Ya chini ni ccm tz, kwa kuwa uliweka mbili na kusema kampeni za kenya ni kama za tz hivyo nikajua picha za kulinganisha nchi mbiliyes yes!!.. i knew i was right. this is not Tz but an ANC rally in kwazuluNatal province SA
Huyo kiazi alishajaa makamasi kichwani huwa haelewagi ko unajisumbua tuu.
Sasa unabisha 95% ya unga mnaotumia hautengenezwi na mzungu na muarabu?Unafikiria kenya ni km tanzania kila kitu machotara
Yani vile mnapelekeshwa kwenu basi mnafikiri hata huku pia ni vile vile vile..
Poleni sana wazembe..
Ukulima katika karne ya sasa hauna nafasi kw mtu mmoja mmoja...
Ndio manake maskini wamejazana kwenu
JamiiForums mobile app