Tungekuwa tunapokea chakula cha msaada wakati ardhi yetu ni fertile, sawa tungeona aibu lakini kitu hiko hakijawahi tokea na kuhusu madini ni below 5% ambayo ndo yanachimbwa! Now turudi kwenye main topic maana mmeshaanza excuses zenu! Rais wenu wakati akihutubia bunge last year alisema Kenya is the sixth richest country in Africa with a GDP above 100 billion dollars! Inanipa wakati mgumu kwa nchi tajiri kupokea misaada ya chakula tena kutoka nchi ambayo ni jangwa, na hii ni Mara ya pili, ya kwanza mzigo uliletwa mpaka ikulu! Inaonekana nyie ni malazy na kuhusu umaskini hata huko kwenu upo tena ni wa kutisha, mnajifanya matajiri wakati wananchi wana hali ngumu.