The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,536
Hata Kenya imeizidi population SA, mko 60mil SA iko na 59mil people.Hi I wewe unatumianga akili ama haga? Hivi hujui Nigeria imeishinda SA kwa population mara nne?![]()
Hata Kenya imeizidi population SA, mko 60mil SA iko na 59mil people.Hi I wewe unatumianga akili ama haga? Hivi hujui Nigeria imeishinda SA kwa population mara nne?![]()
Nanyi lini mtawaiga wao, mbona ninyi ni misukule ya uhuru anawaibia mnakufa njaa anafake data lakini hamna mmoja wenu anaekosoa?Of late Walker 255 has joined them too. People who don't shy away from speaking the truth, however much it hurts their countrymen. Big ups to the three of them
big up, Walker255, u are more than welcome here bruh!.
Numbers dont lieKenya ina GDP kubwa kuliko North Korea, hapo unasemaje mkuu?
Kwahyo kati ya tz na ke ni nani ameendelea zaidi?hapo wewe ndio umekurupuka kwanza,Wewe nawe uwaga unakurupuka tu bila ya kushirikisha ubongo. Nigeria ina GDP ya $450b
South Africa ni $300b
Tofauti ni 150b
Kati ya South Africa na Nigeria ni nchi gani imeendelea ?
Tanzania iwe na uchumi mkubwa kuliko North Korea inayotengeneza almost kila kitu yenyewe? 🤣🤣🤣Sawa bongolala. Ila haitabadilisha ukweli kwamba hata Tanzania yenye uchumi kubwa kuliko North Korea ni nchi ya tatu kwa ufukara hapa Afrika
Hahahaha, hata mkopo pia hamuwezi kupata kwasababu Mchina aligundua hamuwezi kulipa, stupid countryUliambiwa hawa ni vipofu. Bora Rais awaambie 'tumejenga kwa hera zetu' watakubali tu.



Hivi mumeshindwa kumaliza kipande cha Naivasha - Malaba?, Kweli ninyi ni masikini wa kutupwa.Mtu anakwambia Dar - Morogoro ni 500km. Yani 189km imekuwa 500km. Tangu lini Bongolala ikajenga 500km of SGR?![]()
Kwamba Kenya imeendelea kuliko North Korea au sio?Numbers dont lie
So GDP per capita ndio kigezo cha maendeleo?Kwahyo kati ya tz na ke ni nani ameendelea zaidi?hapo wewe ndio umekurupuka kwanza,
South africa imeendelea zaidi kwasababu kwa pop yake gdp per capita inasoma $6000 while nigeria ni $2000 , lakini vipi ya tz inasoma ngap nikumbushe vs ke
Naivasha Malaba kimekwamia kichakani mpaka mchina apende 😅😅😅Hivi mumeshindwa kumaliza kipande cha Naivasha - Malaba?, Kweli ninyi ni masikini wa kutupwa.
Zingatia GDP vs pop kwanza,morocco ni ulimwengu wa tatu kama kenya usipotosheTunaweza kuamua kupaisha GDP ili tuvute mikopo mingi ya wazungu wakenya wanavyofanya, but kwa ground mambo hujieleza..
Morocco ina GDP ya $110b na Kenya nao wanadai wana gdp ya $105b
Tofauti kwa ground ni kuwa Kenya ni nchi ya ulimwengu wa tatu na Morocco ni ulimwengu wa kwanza.
Think kaka, think .
Mwaka 2015 GDP ilikua haijafika $50BEti mtu anatype kabisa Tz GDP ni $65b tangu 2015 tupo hapo hapo kwenye 60s, nchi inajenga miundombinu mikubwa na ya gharama lkn GDP iko hapo hapo haipandi, ni kichaa pekee atakubali ujinga huu.
biggest kwa slums and population bila kusahau poverty 🤣🤣🤣overrated city......Mombasa is bigger than this Kigali
Nimecheka Sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaone![]()
naomba nikusaidie 😂😂👇👇Mtu anakwambia Dar - Morogoro ni 500km. Yani 189km imekuwa 500km. Tangu lini Bongolala ikajenga 500km of SGR?🤣🤣
Reli inajengwa kutoka dar hadi Mwanza,nikusahihishe kutoka dar hadi Makutopora ya Singida ni 742km kwa njia ya reli...njia kuu hazipungui 500km,pia mkandarasi ameanza ujenzi wa njia ya reli kutoka Mwanza kwenda Isaka zaidi ya 300km...Tatizo mnatuchukulia Poa sana...kuna mambo tunayafanya ninyi mmeyashindwa !!....Na juzi TRC wamesign tena mradi kujenga zaidi ya 300km zingine kuunganisha makutopota na Tabora....Line nzima hadi mwanza ni 1200km hadi mda huu kimebaki kipande kidogo cha kutoka Tabora kwenda Isaka cha chini ya 200km.Mtu anakwambia Dar - Morogoro ni 500km. Yani 189km imekuwa 500km. Tangu lini Bongolala ikajenga 500km of SGR?![]()
Inawezekana wewe unavigezo vyako unavyovifaham ila ivyo ndio vinavyotumika na wataalamu wa uchumi dunianiSo GDP per capita ndio kigezo cha maendeleo?
morocco wako mbali sana bro yani usifananishe morocco na kenya hata kidogoZingatia GDP vs pop kwanza,morocco ni ulimwengu wa tatu kama kenya usipotoshe
Tanzania doesn't feed Kenya you dickhead! Tunanunua mahindi Kutoka kwenu, hamtupatii bure. We can choose to buy from any country in the world but we choose to buy from you because you are our neighbours (as much as you are stupid and jealous). Tumewahi nunua mahindi from as far as Mexico wewe kilaza. Umewahisikia Mexicans wakisema wanatulisha?Kwamba nchi ya tatu kwa ufukara lkn inawalisha.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn inajenga miundombinu ya gharama kubwa na ya kisasa kuliko nchi yoyote East and Central Africa.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn inategemea kuwawashia taa kwa kuwauzia umeme kwa zaidi ya asilimia 80%.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn ina infrastructures ambazo hamjawahi kuota kuwa nazo.
Nchi ya tatu kwa ufukara lkn wananchi wake hawafi kwa njaa![]()
Hawa ndugu zako wanajua kuna kitu kinaitwa watalaamu kweli? Bora umwache tu aendelee kuamini anavyotakaInawezekana wewe unavigezo vyako unavyovifaham ila ivyo ndio vinavyotumika na wataalamu wa uchumi duniani