Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanapita kimya kimya hapa👇👇
FGznkoqXIAEMuRR.jpeg
E5q1TTvWEAMdJLB.jpeg
 
Hata unifungie mabomu ya kujitoa muhanga sitoponda nchi yangu ila nitakosoa.

Kuna tofauti kubwa Kati ya kuponda na kukosoa.

Wengi huwa wanaponda wakidhani labda wanakosoa.

Kuponda na mihemuko havijaachana sana.
Nchi yangu naipenda sana nitasimama popote pale kuitetea siwezi kubali mtu anaiponda bila sababu za msingi, kama makosa yanafanyika nakosoa na kutoa alternative na kama cwezi kubadilisha basi naacha kama ilivyo au just simple tu naachana na uzi lkn co eti naiponda Tz, inakosa gani kwa mfano? Iko wazi waafrika wengi wangependa kuwa Watz lkn ndiyo haiwezekani, eti niiponde Tz alafu niisifie nchi gani Africa hii iliyojaa uozo.

Hawa Wakenya humu asikuongopee mtu wana maisha magumu mno kutokana na nature ya uongozi wao na ufinyu wa maliasili unaoikabili nchi yao, usiongopewe na vijengo viwili vitatu vya upande upande wanavyoweka humu, wana maisha magumu sana hata wao wananielewa vzr sn.
 
SGR inajibu tatizo la usafiri wa haraka na gharama ndogo kwa abiria na mizigo, SGR ni miongoni mwa vipaumbele kwasababu itasaidia kusafirisha mazao ya wakulima na bidhaa za viwandani.

SGR itasaidiana na bandari katika kusafirisha mizigo ya nchi jirani hivyo kuingiza kipato serikalini ambacho kitajenga hizo "Mlongazila Hospitals" nyingi zaidi, SGR inajibu tatizo la msingi la barabara na usafirishajj, Je space program inajibu tatizo gani la msingi hapa Tanzania?,

Nchi tajiri zenye hali nzuri kiuchumi Kama Qatar, Mauritius, Sychellese bado hazijafikiria Mambo ya space programs kwasababu bado ni Mambo ya baadae Sana na Wala sio muhimu Sana kwa maisha ya raia wao, vipi unawaza space program wakati dawa zote za binadamu na mifugo bado tunaagiza toka nje ya nchi?.

Mkuu lazima tukubali kwamba maisha ni hatua kwa hatua, Africa kwa ujumla ni bado Sana kuanzisha space programs, tunaweza kuanza kufundisha hayo masomo katika shule zetu na vyuo vikuu kwa maandalizi ya miaka 50 ijayo lakini sio Sasa hivi, ngoja kwanza tupambane na huu umasikini wetu kwanza, tuhakikishe chakula cha uhakika kwa raia wetu, bima za Afya kwa angalau 80% kwa raia wetu na upatikanaji wa maji, barabara na umeme kwa watu wote.
Jibu zuri sana hili.
 
Nchi yangu naipenda sana nitasimama popote pale kuitetea siwezi kubali mtu anaiponda bila sababu za msingi, kama makosa yanafanyika nakosoa na kutoa alternative na kama cwezi kubadilisha basi naacha kama ilivyo au just simple tu naachana na uzi lkn co eti naiponda Tz, inakosa gani kwa mfano? Iko wazi waafrika wengi wangependa kuwa Watz lkn ndiyo haiwezekani, eti niiponde Tz alafu niisifie nchi gani Africa hii iliyojaa uozo.

Hawa Wakenya humu asikuongopee mtu wana maisha magumu mno kutokana na nature ya uongozi wao na ufinyu wa maliasili unaoikabili nchi yao, usiongopewe na vijengo viwili vitatu vya upande upande wanavyoweka humu, wana maisha magumu sana hata wao wananielewa vzr sn.
Hasira za Walker255 hizi🤣🤣🤣
 
Kwanza tangu cku ile ametofautiana na mambo ya JPM na yule daktari alisema hatorudi kwenye huu uzi licha ya kumuomba aache hayo mambo, mm mwenyewe nmewahi kumfata PM co mara moja kumuomba aachane na hizo habari cz mchango wake tulikuwa tunauhitaji lkn akawa mkaidi kabisa, ss amerudi lkn kwa style nyingine ya kuponda.

Mm cna shida naye aponde anavyoweza ila namkumbusha tu hii ni nchi yake hata afanye nini, na pia hakuna shida yeye akitofautiana na watu but ajue kwamba nchi imepiga hatua kubwa atake asitake, tofauti na tulipotoka.

Tuna tatizo letu kubwa ambalo hata mm huwa nalipigia kelele la ujenzi holela, na hili ni tatizo la Afrika na kwengineko duniani, but kuponda kila kitu haimsaidii kupata nafuu ya maumivu.
Mkuu Walker255 umetisha sana, wanasema wamekuignore lakini Kila siku wanaandika maparagragh juu yako🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom