Haya mambo bhana yanachekesha sana




innovation .? Kenya.?


ICT kwa kweli mimi sio mwerevu wa hizo mambo
Social development ni kitu ambacho tumewaacha nyuma hamtuwezi huku kabisa coz hakuna social development bila kuwa na social services za kutosha.. kaa chini jitathmini, je nani mkali wao kwenye hizi mambo.
Human development/ individual development, huku ndio hamtuwezi kabisa, maskini wa mwisho tanzania huwa ni yule ambae ako na malnutrition while in Kenya ni yule ambae he/she suffering from starvation (them ain't afford food to eat) , yani hana chakula kabisa



.. lakini tukija kwa matajiri tz iko na namba kubwa ya matajiri ×3 ukilinganisha na kenya.. sasa sijui ni huma development gani unaizingumzia hapa
Quality education.? In Kenya.? Hii hii elimu inayozlisha vilaza wa kuangusha magorofa kila uchao.? Elimu inayozlisha viongozi wa ku sign bogas treat.? .. heb ona elimu ya tz
View attachment 2047379View attachment 2047380View attachment 2047381View attachment 2047383View attachment 2047386View attachment 2047387
Hiyo miradi hapo imefanywa na watanzania wenyewe, hivyo ni vielelezo vya ubora wa elimu yetu, sijatumia maneno ila vitendo, elimu ni matokeo sio maneno. Kila siku blah blah, sijui nani kasema, sijui nani kaandika lahasha, ubora wa elimu nimatokeo