Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ningekuanazo ningewanyoosha hapa now ๐Ÿ‘‡View attachment 2046077
Ndio hii hapa ingine.

Arusha_City_with_Azimio_La_Arusha_Monument.jpg
 
Sio kila mtaa, Arusha hata CBD ni vumbi tu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ fika Arusha acha kukaa porini uko, hii hapa ni Arusha CBD
Screenshot_20211031-194727_1.jpg
hii ni current photo, vipi unaona vumbi hapo.? By the way Arusha Iko na udongo kama wa NAIROBI
 
Na wewe hauijui Dar? wewe mgeni nini, ama wewe ni wamashambani unaonaga Dar kwa Tv na kwa mitandao, ama kwa kuadithiwa tu? jua mji wenu uchwara, mtu asikuhadithie tafadhali jionee mwenyewe.., pia tumia google earth ujionee mji wenu wa Dar, watu wa pwani wasikudanganye, wana maisha ya ufukara kule mjini Dar.,
View attachment 2046050
View attachment 2046047
View attachment 2046048
View attachment 2046052
kwahiyo umekubali kuwa hapa ni Nairobi nilijua wanadanganya mkuu
JamiiForums-1957243488.jpg
View attachment 2046133
 
Wazungu wenye walileta google earth, bingu inawatazama, hukumu keshatolewa.., ile radi itawapiga!! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Dar.., yaani almost kila eneo ni huu muonekano., haijabadilika tangu nifike kule wakati BRT inajengwa., madiliko sioni haswa! mzungu akisema ukweli mnakanusha eti maoni yake tu, Baba Levo akitoa ushuhuda mnamuita chawa.., sasa Google Earth mtaibatiza jina gani ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Sehemu tofauti tofauti kwa umbali sana.., yaani hazijakaribiana..,

1639656629198.png

1639656652452.png

1639656669379.png

1639656684924.png

1639656873961.png
 
kwahiyo umekubali kuwa hapa ni Nairobi nilijua wanadanganya mkuuView attachment 2046134View attachment 2046133
Ni Nairobi kwa umbali wa zaidi ya 3300 above air, zoom karibu ushangae, ingia google earth, mtanyooka by force by fire ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., na hapa ni Dar.., mzee tofautisha.., mko hovyo kupindukia, Kampala iko nafuu sana ata kama ni ndogo..,
1639657132000.png

1639657113252.png
 
Masaki ndani ndani ni vumbi estate, yaani Arusha, Mwanza, Dodoma na Dar ni the same tu ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
1639657563712.png
 
Wazungu wenye walileta google earth, bingu inawatazama, hukumu keshatolewa.., ile radi itawapiga!! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Dar.., yaani almost kila eneo ni huu muonekano., haijabadilika tangu nifike kule wakati BRT inajengwa., madiliko sioni haswa! mzungu akisema ukweli mnakanusha eti maoni yake tu, Baba Levo akitoa ushuhuda mnamuita chawa.., sasa Google Earth mtaibatiza jina gani ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Sehemu tofauti tofauti kwa umbali sana.., yaani hazijakaribiana..,

View attachment 2046126
View attachment 2046128
View attachment 2046130
View attachment 2046131

Ni Nairobi kwa umbali wa zaidi ya 3300 above air, zoom karibu ushangae, ingia google earth, mtanyooka by force by fire ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., na hapa ni Dar.., mzee tofautisha.., mko hovyo kupindukia, Kampala iko nafuu sana ata kama ni ndogo..,
View attachment 2046139
View attachment 2046138
Waah whats the population here though? if this isnt a slum i dont knw what is, how can people be this delusional though
 
Back
Top Bottom