Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha nimeichambua.., dunia ya leo mtu anidanganyi., Dar, Mwanza, Dodoma, all are in my palms.., google earth! Sama boy 255 ..,
Arusha hii moja..,
View attachment 2045911
View attachment 2045920
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Unanifurahisha sana kwahyo hapo chini unaona nini .? Au unataka nkuletee kisumu kwa umbali huo uone inafananaje.? KISUMU haina qualification hata za kuwa City mzee ๐Ÿ‘‡
Screenshot_20211216-122449_1.jpg
Screenshot_20211216-122537_1.jpg
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ilikuaje Kisumu ikapata city status.? Mana ni ka CBD kadogo, Estates moja kali, slums na mapori everywhere ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Screenshot_20211216-122449.png
 
Hivi mwenye anasema Arusha imeizidi Kisumu na mwenye anasema Kisumu imeizidi Arusha nani mwehu? Arusha ligi yake ni Eldoret, hata Nakuru hamuinusi.
Heb kujibu mwenyewe kwa picha ๐Ÿ‘‡
Screenshot_20211123-040437_2.jpg
Screenshot_20211215-182948_1.jpg
Screenshot_20211215-183053_3.jpg
Screenshot_20211123-040257_2.jpg
Screenshot_20211206-170224_1.jpg
aerial-view-city-arusha-tanzania-143743040.jpg
vs Kisumu CBD๐Ÿ‘‡
kisumu.jpg
1508124-694x375.jpg
DvhPqopXQAEAUHq.jpg
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwa upeo wa macho yako hapo Kisumu ni zaidi ya Arusha.. hizo hapo juu ni CBD ya chuga vs KISUMU CBD.. heb nipe majibu
 
Ukitaka kujua ukweli wa hii kitu pitia ratiba za Air Tanzania pekee uone ndege zinaruka daily, hizo ramani za kujifurahisha kama ndio unataka, we endelea nazo pia haukatazwi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ingia kwa airport, angalia landing and departure board ujionee., weka humu na tarehe ya leo bana., mimi si mwehu, wakati mwingine tunataniana sana, lakini ikija kwa facts am serious., check kisha uje uniambie.., kazi kwako.,
 
Ingia kwa airport, angalia landing and departure board ujionee., weka humu na tarehe ya leo bana., mimi si mwehu, wakati mwingine tunataniana sana, lakini ikija kwa facts am serious., check kisha uje uniambie.., kazi kwako.,
hata upindue picha arusharusha ni ile ile tu....
 
Heb kujibu mwenyewe kwa picha ๐Ÿ‘‡View attachment 2045954View attachment 2045955View attachment 2045956View attachment 2045958View attachment 2045960View attachment 2045961vs Kisumu CBD๐Ÿ‘‡View attachment 2045962View attachment 2045963View attachment 2045964๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwa upeo wa macho yako hapo Kisumu ni zaidi ya Arusha.. hizo hapo juu ni CBD ya chuga vs KISUMU CBD.. heb nipe majibu
Unaokota vipicha vya kisumu vya kitambo kujiliwaza., ni wewe mwenyewe uliamua kuenda njia ya google earth, hali kamili, stick to it., najua umejionea.., kelele mingi sasa fyata ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., kila kitu kiko wazi maneno yako yatabaki tu kukua maneno..,
 
So you want to go where guys are speaking French you talk with your mother tongue nkt! You creatures are so behind. Tujivunie Kiswahili lakini pia we must learn language of trade
kwahiyo manesi wa kunyaland hawajui kiswahili wala lugha ya malikia pole zao, sasa walisomaje shule? mkiambia kenya ni failed state jua ni failed state kweli
 
Unaokota vipicha vya kisumu vya kitambo kujiliwaza., ni wewe mwenyewe uliamua kuenda njia ya google earth, hali kamili, stick to it., najua umejionea.., kelele mingi sasa fyata ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ., kila kitu kiko wazi maneno yako yatabaki tu kukua maneno..,
We jamaa vipi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mbona unataka kubishia ukweli unaoonekana wazi kabisa.? Haya leta hizo picha mpya za Kisumu .. au unataka tupost jengo moja moja.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Mana hapa lengo lako nalijua ni kale ka gorofa kamoja kadogo ka vioo hakapo kwenye picha ndio mana unadai Kisumu ya Zamani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. kwa jengo moja moja mzee Arusha usije ukajaribu kabisa mana huko chuga kuna majengo marefu.. yani kabisa unakaza tako.?
 
Back
Top Bottom