Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya angalieni silaha zetu baadhi tu

Nyumbu wamekaa kimya wanafanya mambo yao.

Made in Tanzania.

IMG_3150.jpg

IMG_3151.jpg

IMG_3152.jpg

IMG_3153.jpg
 
Battle la jeshi Tanzania tupo mbali Sana tumeshinda 10 _0
Ata kwa Uganda hamtoshi, vifaa gani hizo mnaanika mbele ya watu? kisha unapiga kifua 😂 😂 😂 😂 ., chunguza Rwanda ama Uganda kwanza., zenyu zinakaa kienyeji sana, tazama hayo malory, zima moto zinafanana model ya kizamani 😂 😂 😂 😂 😂 ., ningekua mtanzania nisingepost hizo picha za sherehe mnapost humu., ilikua somewhat down!! speeches????., mvutio haukukua, afadhali ata show ya Diamond ama game ya Simba vs Yanga.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
This car just started selling by Toyota Kenya. It has not been sold in any other East African nation other than Kenya. Wachana na mambo ya Nagari bradhee, it's clear hujuo kitu.🚮🚮

View attachment 2037881
We matako kweli, Tanzania zipo toka June, ninyi zimeingia December 🤣🤣🤣🤣

Tanzania zipo used kwenye showrooms tayari

 
🤣🤣🤣🤣 alaf kwann wasife njaa na sababu za kufa njaa wanazo
 
We matako kweli, Tanzania zipo toka June, ninyi zimeingia December 🤣🤣🤣🤣

Tanzania zipo used kwenye showrooms tayari


Haha alafu kuna msani mmoja maarufu anaitwa Diamond anatumianga hivi upuuuzi za wanasiasa!!!
Wenzake wakitumia vitu Kali za musicians!
Ametujazia maToyota kama mwanasiasa!!!
 
Back
Top Bottom