kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.
asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la kikuyu.
that being said,i present to you a sample of random photos that show private houses owned by the common citizens of dar es salaam.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
i think this is kitengela where @mulisaa was asking if the nairobi metro is developedNairobi is sprawling. Here it has is intruding into Machakos
View attachment 553502 View attachment 553503 View attachment 553504 View attachment 553505 View attachment 553506 View attachment 553507 View attachment 553508 View attachment 553509 View attachment 553510 View attachment 553511 View attachment 553512 View attachment 553513 View attachment 553514 View attachment 553515 View attachment 553516 View attachment 553517
Msee wa kibandaHappening now gusa gusa mini band....
Old is gold taarab
Amazing 😀😀😀😀😀😀
View attachment 553814 View attachment 553815
Kijana unaishi sebleni kwa wazazi , wa mwisho kulala wa kwanza kuamka utakuwa na mawazo ya kujenga kweli , na ardhi hamnaVery ugly houses.
Wouldn't live in any of them for free.
una own hekari ngapi za ardhi hapo na Nairobi?.Very ugly houses.
Wouldn't live in any of them for free.

edward picha hizo tumezichoka ......hebu kuwa mbunifuNairobi estates. Just a few among the many!!
View attachment 553471 View attachment 553472 View attachment 553473 View attachment 553474 View attachment 553475 View attachment 553476 View attachment 553477 View attachment 553478
tupo vizuriLDC baby...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umesikia habari ya kwamba Tanzania ni nchi ya pili afrika baada ya south Africa kuzalisha mafuta ya alizeth
In that case Kenya tutakuwa kwa sasa tuna wa spoon feed , kuanzia Vitunguu - ambavyo mnachukua manyara na magola Tanzania
Karoti na viazi mviringo - ambazo mnachukua kutoka west Kilimanjaro Tanzania
Mchele - ambao mnachukua magugu manyara Tanzania
Nyama ya Ng'ombe - mnachukua kanda ya ziwa Tanzania mkipitisha border ta sirari
Maindi kwa sasa hatuwaletie tunawaletea unga
Mafuta ya alizeti tutaweka utaratibu sasa wa kuwaletea maana mlizoea mnaenda babati manyara Tanzania mnabeba adi mashudu ya kulisha kuku zenu za broiler
Mwisho kabisa Nishati ya kupika ivyo vyote mnatoa Tanzania ambayo ni gas bora kabisa na bei ya chini
Muwe makini tusije tuka wa colonies
spensa_e
yaani umewapa kubwa kuliko
biashara zinaendelea kama kawaida.......waulize wafanya biashara wakubwa wa hiyo nchi yenu wanaofuata taratibu na sheria za kuagiza bidhaa toka tanzania watakujibufor decades mmetumia vitu za Kenya na hatukuwahi piga kelele. ..shida yako ni baseless and unfounded claims. . .....Kenya doesnt need your food. ..... si mmeblock ngano na maziwa from Kenya
hstutaki upuuzi na mazoea yakijingaMpaka tuhakikishe wanalipa pesa zetu
View attachment 553621