El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
Umesikia habari ya kwamba Tanzania ni nchi ya pili afrika baada ya south Africa kuzalisha mafuta ya alizeth
In that case Kenya tutakuwa kwa sasa tuna wa spoon feed , kuanzia Vitunguu - ambavyo mnachukua manyara na magola Tanzania
Karoti na viazi mviringo - ambazo mnachukua kutoka west Kilimanjaro Tanzania
Mchele - ambao mnachukua magugu manyara Tanzania
Nyama ya Ng'ombe - mnachukua kanda ya ziwa Tanzania mkipitisha border ta sirari
Maindi kwa sasa hatuwaletie tunawaletea unga
Mafuta ya alizeti tutaweka utaratibu sasa wa kuwaletea maana mlizoea mnaenda babati manyara Tanzania mnabeba adi mashudu ya kulisha kuku zenu za broiler
Mwisho kabisa Nishati ya kupika ivyo vyote mnatoa Tanzania ambayo ni gas bora kabisa na bei ya chini
Muwe makini tusije tuka wa colonies
spensa_e
for decades mmetumia vitu za Kenya na hatukuwahi piga kelele. ..shida yako ni baseless and unfounded claims. . .....Kenya doesnt need your food. ..... si mmeblock ngano na maziwa from Kenya