Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We bwege kweli buda, kuna future gani kwenye diesel sgr station ukilinganisha na stations za treni za umeme. 😀 Eti futuristic, hizi linganisha na stations zetu za mabasi maana kwote kunaweza kuwa na harufu inayoelekeana itokanayo na diesel
Nimefika hapo kwa diesel sgr station nikaacha kusoma🤣🤣🤣 wtf
images (7).jpeg
 
Tunawapiga pini mpk Jf wanaiona chungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha pini apa..battle iliishaisha kitambo apa tulikua tu tunangojea ushuhuda kutoka wenzio..Mtanzania mwezio na sabatical..Apa tu sai kufurahishana tukutane baada miaka 25 venye baba levo alivyo washauri..😛. Game over hakuna cha nini wala nini
,
 
Kenya's sgr can be electrified in its current state. Sisi kujenga sgr ya diesel si eti kwa sababu hatuna huo uwezo ama kuona umuhimu wake. Ni kwa sababu uzalishaji wetu wa umeme bado upo chini kwa sasa ukilinganisha na demand. Tungejenga ya umeme could have spelled doom to our industrial and domestic power needs kwa sababu ingelemaza shuguli nyingi muhimu.

Nyinyi mnajenga ya umeme kwa sababu mahitaji yenu ya umeme bad upo chini ikilinganishwa na yetu. Najua hili mtabisha sana ila huo ndo ukweli.

Kuhusu brt, ours was an afterthought so you can't expect it to be top-notch. Kwa sasa tunajenga a second line along the expressway so ngoja tuone matokeo yatakuaje.

All the same, hujawahi kuona brt systems za kupakwa rangi ama nyinyi ndio wale ambao hawajawahitoka nje ya mipaka ya Tandale?
Umecheki clip nliyoshare kuhusu china na sgr africa? unaambiwa upgrades zitafanywa na mchina, so ukisikia wanaelectrify ujue ni mimba ingine ya mchina na pia itakua kimchongo kama mnavyojaribu brt
 
Hamna cha pini apa..battle iliishaisha kitambo apa tulikua tu tunangojea ushuhuda kutoka wenzio..Mtanzania mwezio na sabatical..Apa tu sai kufurahishana tukutane baada miaka 25 venye baba levo alivyo washauri..😛. Game over hakuna cha nini wala nini
,
Baba levo amekuwa star sn Kenya eeh, hicho ndicho alichotakiwa kufanya kwamba mjinga msifie, hii kitu huwa anakosea sana Diamond ndio maana hamumpendi mana hana time na Kenya kama haijui vile, zaidi ya kuwato..mb..a dada zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom