Let me breakdown for you Buda. Tunachoringanisha ni ubora na viwango, wakati SGR yetu itaanza kazi itakuwa ya umeme na treni za kisasa na huku yenu itakuwa ile mitungi ya chang’aa. Same applied to BRT, wakati yetu ni complete package system with dedicated lanes, yenu itaendelea kuwa ile ile ya kupaka ‘lipstick’ with narrow stations kama spagethi, so its just a matter of time tutakuwa na SGR ya kisasa na BRT System ambayo ni most effective huku nyie mkishika mkia kwenye hilo eneo. Umeleewa kijana wangu?