Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hzo picha angle tofaut bro..
Ndio hiyo ikiwa moja
IMG_20211201_005221_164.jpg
 
Rais leo kawapongeza wale wachezaji walemavu kufuzu kombe la dunia, Ilani ya CCM inasema itajenga uwanja Dodoma. lkn mpka sasa siwaelewi hawa viongozi, mpka leo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja kama vya Mkapa zaid ya viwili au vitatu?

hela ya Boeing moja kubwa inatosha kujenga hata viwanja vitatu, lkn siwaelewi kbsa hawa viongozi hasa Rais hawafikirii kujenga
View attachment 2029643
Hakuna mradi hata mmoja walioahidi na ukafanyika licha ya matozo tozo kila sehemu, soko la kariakoo tu sioni chochote zaidi ya tuta tuta tuta, hii CCM imshukuru sn JPM la cvyo wangepata tabu sana kuwakabili Watz wa ss walioelimika.

Miradi 99% wanayoringia ni jitihada za jemedari, Rais wa ss ndiye atakuwa wa mwisho kutoka CCM kuongoza hii nchi, tunakwenda kuichoka CCM.

Serikali ya TUTA.
 
Rais leo kawapongeza wale wachezaji walemavu kufuzu kombe la dunia, Ilani ya CCM inasema itajenga uwanja Dodoma. lkn mpka sasa siwaelewi hawa viongozi, mpka leo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja kama vya Mkapa zaid ya viwili au vitatu?

hela ya Boeing moja kubwa inatosha kujenga hata viwanja vitatu, lkn siwaelewi kbsa hawa viongozi hasa Rais hawafikirii kujenga
View attachment 2029643
Wale wacameroon niliwaona mzee walikuwa wameshiba kweli kweli, kama vijana wamewatoa wale wanahitaji pongezi aisee.
 

View attachment 2029648

Two Tanzanian presidents have visited the Nairobi hospital, including the opposition leader 😂😂😂
😂😂😂 Wakati wa msiba wa Magufuli kuna askofu alinukuliwa akisema dakika chache kabla Magufuli hajafa alipigiwa simu kutoka ikulu kwenda kumfanyia maombi na yeye aliitikia wito huo mara moja na waliongea na kufanya sala pamoja kabla hajafa

Inaonekana Dar na Nairobi ni seconds distance, mnalazimisha kwenye hamna bila kujihusisha na Tanzania you don't look relevant at all 😅😅😅
 
Dah!

😔😔😔😔😔😔😔😔
 
Wakati wa msiba wa Magufuli kuna askofu alinukuliwa akisema dakika chache kabla Magufuli hajafa alipigiwa simu kutoka ikulu kwenda kumfanyia maombi na yeye aliitikia wito huo mara moja na waliongea na kufanya sala pamoja kabla hajafa

Inaonekana Dar na Nairobi ni seconds distance, mnalazimisha kwenye hamna bila kujihusisha na Tanzania you don't look relevant at all
Kama vile alikua busy na mafiles ikulu
Bado mkidanganywa wakenya walikua wameandika RIP
 
Legends never die, ataishi kwenye nyoyo na ndimi zenu enzi nyingi sana, you will die for your problems and JPM syndrome on top while ukifa hakuna atakaekutaja baadapo.
Ona huu fala, kwani wewe ukifa utatajwa na nani? kalambe mzoga wa JPM chato bootlicker wa ccm.
 
Itakuuma sana, JPM anazidi kukudictate kutokea kaburini na bado mpaka uvae chupi kichwani, Legends never die, japo JPM is no more lakini utabaki ukimtaja mpaka uje kuzikwa kama mzoga
JPM is dead and rotting no matter how you console yourself.
By the way he hated Kenya but died in Nairobi Hospital
 
Itakuuma sana, JPM anazidi kukudictate kutokea kaburini na bado mpaka uvae chupi kichwani, Legends never die, japo JPM is no more lakini utabaki ukimtaja mpaka uje kuzikwa kama mzoga
Unatafuta pa kutorokea iza men
 
Back
Top Bottom