Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza Kampala na Kigali zimepiga Dodoma kama mbwa koko. Kwa hivyo ujue Dodoma bado mtoto mdogo mbele ya miji mikuu mingine hapa AM. Serikali yenu imehamia Dodoma juzi tu wakati wa Magufuli kwa hivyo Dodoma bado haijajengeka kama miji mikuu ya Uganda au Rwanda. Halafu asante kwa kupost picha nyingi za Dodoma angalau unatufunza mengi kuhusu mji huu ambao hauna lami sehemu nyingi. Picha zenyewe ni nzuri na zinafunza mengi. Ipe Dodoma miaka kumi ndio itaanza kushindana na Kigali. Miaka ishirini ndio itaanza kushindana na Kampala.
The best 007 ulikuwa unakejeli barabara za Kenya kwa sababu Kenya ina mchanga mwekundu sasa mbona naona Dodoma pia ina mchanga huo mbaya mwekundu ambao huupendi.
Tony mbn unaongea vitu km mlevi mzee, Dom ni jiji jipya, yn tumeamua kulijenga sasa wewe unataka tuache kujenga majengo na infrastructures muhimu zitazobebwa na roads tujenge barabara akili ya wapi hii, by the way ring road inakuja soon pia maendeleo ya Dom mshayaona na tutakuwa tunapost humu ili mjue kwamba cc ndiyo baba hapa EA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ethiopia's Nile Dam 'an Existential Issue' to Egypt, says El Sisi after Talks with Visiting Tanzanian President Samia Suluhu Hassan​


11 November 2021
Ethiopia's Nile Dam 'an Existential Issue' to Egypt, says El Sisi after Talks with Visiting Tanzanian President Samia Suluhu Hassan

The massive hydroelectric Nile dam being built by Ethiopia is an “existential” issue that could affect millions of Egyptians, President Abdel Fattah El Sisi said on Wednesday.

Egypt is deeply alarmed that the Grand Ethiopian Renaissance Dam, or Gerd, would reduce its share of Nile water significantly, severely disrupting its vital agriculture sector and wiping out hundreds of thousands of jobs.

Ethiopia has repeatedly assured Egypt and bordering downstream country Sudan that the dam, which will lift millions from poverty, would not negatively effect them. It says that building and running the Gerd was a sovereignty issue in which outsiders should not meddle.

Addressing a news conference after talks with visiting Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, the Egyptian leader said they reviewed developments related to the Gerd as an “existential issue that affects the lives of millions of Egyptians”.

Tanzania is one of 11 Nile basin nations and home to a hydroelectric dam being built on the Rufiji river with help from Egyptian engineers.

Egypt’s assistance in the construction of the Julius Nyerere dam was cited by Mr El Sisi on Wednesday to counter claims by Addis Ababa that Egypt was sticking by colonial-era agreements that unjustly gave it the lion’s share of the Nile’s waters without care or concern for the needs and interests of other basin nations.

“That project represents a model for Egypt’s support of the rights of Nile basin nations to achieve full exploitation of its water resources without negatively impacting the rights of other nations,” said the Egyptian leader, who since taking office in 2014 has energetically courted sub-Saharan African nations, travelling widely in the continent, offering technical training opportunities, aid and university scholarships.

 
Tatu City failed? Is your head okay? Ama unadhani ni Kawe City na Kigamboni City?

Show me the progress
I here attache your render fyi
IMG_6206.jpg
 
Wewe usiongee mambo usiyoyajua. How did Tatu city fail? Usiropokwe hovyo kama huna picha latest ya Tatu city sema uletewe sio kuropokwa hovyo. Kuna watu wanaishi ndani ya Tatu city. Kuna wanafunzi wanasomea ndani ya Tatu city. Kuna warehouses zinafanya kazi ndani ya Tatu city. Kuna kampuni kubwa kama Dormans coffee kampuni ya kuprocess coffee inayofanya kazi ndani ya Tatu city. Sema ufundishwe kama hujui sio kuropokwa tu.

Share aerial view ya tatu city
 
Wewe usiongee mambo usiyoyajua. How did Tatu city fail? Usiropokwe hovyo kama huna picha latest ya Tatu city sema uletewe sio kuropokwa hovyo. Kuna watu wanaishi ndani ya Tatu city. Kuna wanafunzi wanasomea ndani ya Tatu city. Kuna warehouses zinafanya kazi ndani ya Tatu city. Kuna kampuni kubwa kama Dormans coffee kampuni ya kuprocess coffee inayofanya kazi ndani ya Tatu city. Sema ufundishwe kama hujui sio kuropokwa tu.
Ebu tuonyeshe izo tatu city na konzaa
 
Share aerial view ya tatu city
Alot involves in building a city boss city si Kijiji you just build now most roads are done the sewage systems is done and now even the real estate agents are marketing there plots there as fully serviced plots water electricity roads sewage system all ready all you have to do is build since the crucial part is over now raising buildings wount take more than two years
images (21).jpeg
Screenshot_20211113-075515.png
images (25).jpeg
images (26).jpeg
images (22).jpeg
images (23).jpeg
images (24).jpeg
 
Alot involves in building a city boss city si Kijiji you just build now most roads are done the sewage systems is done and now even the real estate agents are marketing there plots there as fully serviced plots water electricity roads sewage system all ready all you have to do is build since the crucial part is over now raising buildings wount take more than two years View attachment 2008606View attachment 2008607View attachment 2008610View attachment 2008611View attachment 2008612View attachment 2008613View attachment 2008614
So hii ndiyo mnalinganisha na Dodoma? Kwahiyo render na vijengo viwili vitatu tayari imeanza kupambana na Dom jiji tulilotumia bilions of money kulijenga, Wakenya hamna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alot involves in building a city boss city si Kijiji you just build now most roads are done the sewage systems is done and now even the real estate agents are marketing there plots there as fully serviced plots water electricity roads sewage system all ready all you have to do is build since the crucial part is over now raising buildings wount take more than two years View attachment 2008606View attachment 2008607View attachment 2008610View attachment 2008611View attachment 2008612View attachment 2008613View attachment 2008614

The problem with you you Make too much noise of what you don’t have, so as your leaders,
That’s not the progress of what you’ve been making noise for over 15 years,

Even without that empty plan and massive noises of tatu city and the blabla, for only 10 years that place could’ve developed probably more than that.

Mimi nilinunua Eneo mwaka majuzi Somewhere Kiluvya hapa Dar, it was bush by then, now the place has been transformed just in 3 years.

Mkiwa mnapanga kujenga satellite cities Halafu mnategemea wawekezaji basi don’t take it to the highest. Kwa mfano, The New capital that Egypt is building is what actually Come into my mind wham I heard of your tatoo and konza cities,
Kumbe Gov yenu inajenga tu vibarabara kwa pesa za mkopo na kupeleka umeme kisha inauza plots at overpriced prices expecting someone to come from China , buy a plot and build a mega stadium.
Wajinga nyie.
 
The problem with you you Make too much noise of what you don’t have, so as your leaders,
That’s not the progress of what you’ve been making noise for over 15 years,

Even without that empty plan and massive noises of tatu city and the blabla, for only 10 years that place could’ve developed probably more than that.

Mimi nilinunua Eneo mwaka majuzi Somewhere Kiluvya hapa Dar, it was bush by then, now the place has been transformed just in 3 years.

Mkiwa mnapanga kujenga satellite cities Halafu mnategemea wawekezaji basi don’t take it to the highest. Kwa mfano, The New capital that Egypt is building is what actually Come into my mind wham I heard of your tatoo and konza cities,
Kumbe Gov yenu inajenga tu vibarabara kwa pesa za mkopo na kupeleka umeme kisha inauza plots at overpriced prices expecting someone to come from China , buy a plot and build a mega stadium.
Wajinga nyie.
Wakenya hawana akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tony mbn unaongea vitu km mlevi mzee, Dom ni jiji jipya, yn tumeamua kulijenga sasa wewe unataka tuache kujenga majengo na infrastructures muhimu zitazobebwa na roads tujenge barabara akili ya wapi hii, by the way ring road inakuja soon pia maendeleo ya Dom mshayaona na tutakuwa tunapost humu ili mjue kwamba cc ndiyo baba hapa EA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingine usrudie kukejeli mchanga mwekundu wa Kenya maana hata Dodoma naona ina mchanga huo.
 
Siku nyingine usrudie kukejeli mchanga mwekundu wa Kenya maana hata Dodoma naona ina mchanga huo.
Huo mchanga hautoonekana kwa asilimia kubwa, ninachowacheka mm ni kwamba mnashindwa kufanya pavement za kueleweka, inatakiwa sehemu ambayo haina lami au pavement ipandwe grasses, maudongo mekundu yanakera kwa macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom