Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyingine hii hapa
IMG_2958.jpg

IMG_2959.jpg

IMG_2957.jpg
 
Wadanganyika ni wajinga sababu walipewa nafasi ya kujenga capital city in the 21st century na huu upupu ndo wanajenga huko Dodoma mwaka wa 2021. Poor planning, mpangilio mji haupo, uchafu, underdevelopment hadi slums zimeanza kutokea ata kabla ya mji uishe kujengwa. Nkt!!!
images-18.jpg
 
Kwa Pace ya Ujenzi wa Dodoma wa Sasa, East and Central Africa itaanza kushuhudia mji mkuu wa kisasa zaidi 2023.

Hapa ni kuhakikisha watu walio ndani ya Serikali hawashindani kutokukaa Dodoma na kwa moyo mmoja wanaijenga Dodoma
 
Unadhani kusingekuwa na hiyo plan inaitwa tatoo city hilo eneo lingekuwa iddle hadi Léo Miaka 15 yote ?
Haingekuwa imejengeka hivyo. Eneo hilo lilikuwa bush. Yaani kichaka kabisa. So sioni kama ingekuwa imejengeka kama ilivyo sasa.
 
Soda we already have several towns that can beat it hands down konza ikiisha you can't compare with Dodoma inayo kengwa kijua kali konza is a modern technology city... With a full data center
Konza na dodoma wap na wap bro umeanza kichanganyikiwa lini
 
Kila nchi inashida ya chakula we mijinga. Hata US na China kuna watu maskini hio sio kumaanisha USA haijaendelea kuliko danganyika.
Tangu lini uliona au kusikia maskini pamoja na mifugo ya China au USA imekufa au kukondeana na kubaki mifupa kama huko kwenu turkana, Marsabit and the likes? Just learn to be honest and accept the bitter truth that food scarcity is your yearly national prayer you bustard!
 
Konza na dodoma wap na wap bro umeanza kichanganyikiwa lini
Hawa wanasumbuliwa na D-N-A

Denial

Negotiation

Acceptance.

Kwa ss kuhusu Dodoma Wakunya bado wapo kwenye Negotiations, ikifika mwakani wataingia kwenye Acceptance wala msiwe na shaka nao mbn ndivyo walivyo, miradi mingi tu walipitia hizi stages.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mbona unajitia ujuaji,na hujui chochote.? Unabishia ukweli.? Haya nakupa faida.. 1.. ujenzi wa barabara za lami 51km kwenye mji wa serikali 👇View attachment 2008419View attachment 2008418kwasasa hapo kuna ujenzi wa ministry zote za Tz, majengo 24 yenye gorofa kuanzia 6-12 yanajengwa hapa kwenye huu mji, facilities tofauti tofauti kama recreational parks and Malls.. by the way Dodoma pia kuna ujenzi wa ofisi tofauti tofauti za serikali zilizoisha kujengwa hivi karibuni na zinazoendelea kujengwa.. jengo la makao makuu ya NEC 👇View attachment 2008422OSHA👇View attachment 2008428OFISI YA Takwimu 👇View attachment 2008429PSPF DODOMA HQ👇View attachment 2008430View attachment 2008431LAPF DOM HQ👇View attachment 2008432Miradi mikubwa ya stendi 👇View attachment 2008450View attachment 2008451SOKO KUU DOM👇View attachment 2008452View attachment 2008453stendi ya Malory 👇View attachment 2008454and many more projects that are under way. 👇View attachment 2008433View attachment 2008437mfano hili lilikua ni jengo la uhamiaji 👇DomView attachment 2008438ujenzi wa UHAMIAJI HQ DOM👇View attachment 2008439View attachment 2008440also kuna housings projects zinazoendelea, huu👇 ni ujenzi wa nyumba 1000 unayofanywa na shirika la Nyumba la taifa HNC View attachment 2008444View attachment 2008445View attachment 2008446View attachment 2008447and recreational park (Chinangali recreational park) the largest multi purpose recreational park in EA 👇View attachment 2008455View attachment 2008456 many more.. AND this is old Dodoma CBD that you have no an idea of..👇View attachment 2008441View attachment 2008442View attachment 2008443View attachment 2008448View attachment 2008449hiv ni vitu vichache ambavyo nimefanikiwa kukupatia picha zake.. lakini ujue tu .. kuna DOM outer ring road 112km dual carriage way U/C,
2. Dom international airport
3. Dom international stadium
4. Dom indoor Arena
5.ikulu kubwa EA
n.k .. vitu ni vingi baba .. here I have a bonus video showing the most beautiful Political party's conference center in EA 👇 . NB uache kutusemea we fala .. eti ooh Dom sijui ni capital city yenye haina lami 😂😂 Kumbe hujawahi kufika na hujui chochote nyoko wewe.. Kuna mji wowote nje ya NAIROBI unawezana na DOM .. nawauliza nyie Don YF Tony254 Nicxie nairobae NairobiWalker .. nataka mkiamka tu mje na majibu sahihi

View attachment 2008417

Ushabiki unakubalika. Huo mji wa vumbi labda ulinganishe na Kisii
 
Tatizo la Makambaka ni kupenda mitandao na kujiona ni genious wakati uongozi sio paper la Darasani,is all about wisdom,vision,mision.
Ni genious kwa lipi la maana aliloliachieve zaidi ya mawazo ya wizi na ufisadi? Narudia tena kuwa huyu Njaa-nuary ni empty box & Gold digger na mama asipoangalia huyu jamaa anaweza kumkosanisha na wananchi aka wapiga kura.
 
Back
Top Bottom