Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂I missed this response, yaani ufukara imekufikisha hapa, can't afford data ya YouTube😂😂😂., hope shughli tu.., unaogopa clip itakutesa vibaya.., almost the whole city is well captured., Dar nje ya CBD haitoshi mboga😂😂😂..,
Mzee wa Nakuru. Niambia mji namba mbili hapo Kenya baada ya Nairobi ni Nakuru au Mombasa!?
 
Arusha...tutaendelea keshoView attachment 2004933
JamiiForums-1604536900.jpg
 
Arusha bado sana, can't be compared na Kisumu or Nakuru even Eldoret.., mbona growth ya Arusha iko slow kiasi?.., no substantial change kama vile Kisumu or Nakuru.., Kisumu Leo unaona kiwanja baada ya mwaka ni density, kama Lolwe imekua tu kichaka less than 10 years, now it is a dense residential na bado inajengwa day and night...,
 
Arusha bado sana, can't be compared na Kisumu or Nakuru even Eldoret.., mbona growth ya Arusha iko slow kiasi?.., no substantial change kama vile Kisumu or Nakuru.., Kisumu Leo unaona kiwanja baada ya mwaka ni density, kama Lolwe imekua tu kichaka less than 10 years, now it is a dense residential na bado inajengwa day and night...,
Kisumu mzee. Hebu wacha matani
Screenshot_20211109-131043.png
 
Nje ya Dar unamaana gani.
Arusha ni namba
Tatu au Nne
Namba mbili ni Mwanza
Hiyo Mwanza nimeidharau sana, Arusha looks far better😂😂., Mwanza residential balaa, especially upper class kwa matajiri ni vumbi tu😂😂😂😂., afadhali mtu aringe na Arusha kuliko Mwanza, mji una muonekano wa kuchoka, makazi za kishamba, daladala ni muundo za kitambo.., very ugly town mnaita eti ni city! Nani aliwaroga?..,😂😂😂😂
 
Hiyo Mwanza nimeidharau sana, Arusha looks far better😂😂., Mwanza residential balaa, especially upper class kwa matajiri ni vumbi tu😂😂😂😂., afadhali mtu aringe na Arusha kuliko Nwanza, mji una muonekano wa kuchoka, makazi za kishamba, daladala ni muundo za kitambo.., very ugly town mnaita eti ni city! Nani aliwaroga?..,😂😂😂😂
Naona imekuingia kwenye mfupa.
Tofauti na hapo Nairobi second ni wapi!?
 
Naona imekuingia kwenye mfupa.
Tofauti na hapo Nairobi second ni wapi!?
Unamaanisha nini by Nairobi second?.., ama mji wa pili baada ya Nairobi?🤔., Kama unamaanisha mji wa pili., Mombasa ndio number 2.., city ya kweli..,
 
So such an old pic ndio Kisumu kwa ujumla hehehehe, fikra za ki mihogo chemsha 😂😂😂😂😂., Ukweli unabakia pale pale.., Mwanza ni mashambani., Nakuru inameza Mwanza na Arusha combined kwa revenue😂😂😂😂.,
Kisumu kama kisumu
Screenshot_20211109-222915.png
 
Venus Star unatuonyesha nomination nikama mlishinda. Huna hata aibu. 🤣🤣🤣
Kenya is among the 5 countries in Africa with National awards. TZ bado iko kwa category ya amateurs.

Capture.JPG


Capture2.JPG
 
Unamaanisha nini by Nairobi second?.., ama mji wa pili baada ya Nairobi?🤔., Kama unamaanisha mji wa pili., Mombasa ndio number 2.., city ya kweli..,
Unataka tuanze kuzungushana swali rahi hivi!?
Mombasa ndio Namba 2.
Can you compete with Unguja!?
 
Which year, nimekua Kisumu this year sioni hizi baiskeli as displayed kwa hii picha yako, boda Bora ya piki piki ndio sana, na sioni kosa kubeba watu kwa baiskeli, kisumu ni jirani ya Uganda so borrowed a leaf, even though, bado iko juu ya Mwanza na Arusha in many ways., hapa haukwepi na vijisababu, Sikuleta malls, Airport na frequency of flights per day., residentials zote etc., yaani Kenya iko 20 plus years ahead of Danganyika.,😂😂😂😂., facts are screaming, mnatushindia tu domo domo., kupingana bila facts na kukurupuka ovyo ovyo bila kufanya utafiti mwafaka..poleni sana, mnanyooka tu kwa lazima😜😜😂😂.,
 
Unataka tuanze kuzungushana swali rahi hivi!?
Mombasa ndio Namba 2.
Can you compete with Unguja!?
Kojoa ulale u are such an idiot indeed😂😂😂😂😂 ikija Mombasa, in Tz Dar inaishindia tu three towers, bridges na ka BRT unaniambia nini wewe😂😂😂😂., Tanzania nchi ya city moja tu😂😂😂😂.,
 
Kojoa ulale u are such an idiot indeed😂😂😂😂😂 ikija Mombasa, in Tz Dar inaishindia tu three towers, bridges na ka BRT unaniambia nini wewe😂😂😂😂., Tanzania nchi ya city moja tu😂😂😂😂.,
Takataka kama hizi zinapatikana Mombasa tu
Screenshot_20211109-224616.png
 
Back
Top Bottom