Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee wa pinnacle hut. Unataka nikwambie maana ya Avatar!?
What is the level of your education!?
You got nothing in that brain of yours. Mtu unajifanya unajua wakati hakuna unachokijua. Ni mara ngapi nimekuambia uniambie maana ya Avatar na unabaki tu ukitoa povu? Stupid bongolala!
 
You got nothing in that brain of yours. Mtu unajifanya unajua wakati hakuna unachokijua. Ni mara ngapi nimekuambia uniambie maana ya Avatar na unabaki tu ukitoa povu? Stupid bongolala!
YOU ASK A CHILDISH QUESTIONS

I asked you what is the level of your education, you can't even know how to use google!?
I said mama Ngina ameficha akili zenu mathare.
😂😂😂
 
Bongolala, peleka malalamishi yako WB kuhusu hiyo taarifa yao. Just in case you din't know, their HQ is in Washington. I am not the author of that report
Nakuuliza tena Tz na Kenya wapi kuna njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Kenya kuna njaa kuliko Tz au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alikuambia Tanzania hakuna njaa, nionyeshe pahali imeandikwa Tanzania is hunger free? In fact Tanzania has worse problem of malnutrition among kids hata kushinda Kenya. Ama unadhani kutafuna mihogo ni kula balanced diet. Again I repeat nionyeshe mahali imeandikwa Tanzania is has no hunger ju hata kwa Global Hunger Index Kenya ranks higher than Tanzania. Sisi our government haifichi vitu kama serikali yenu, tunawajua vizuri vile munapenda kuficha vitu ili muonekane muko sawa na munateseka kama punda. 😂😁😂
 
Kwahiyo hii article ndiyo ina justify kwamba Kenya hakuna njaa (nategemea pia useme njaa is everywhere)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka Afghanistan ambako njaa kwao imeenea kila kona inayofuata ni kunyaland haifuraishi maana wanaoumia ni wakunya wa wakawaida politian wako na royal life . Curfew na lockdown za kutaka kupata mikopo matokeo yake njaa kali
 
Tanzania hata mkificha tunajua.😂😂😂
Hunger index vs hunger reality😂😂😂
Screenshot_20211107-074735.png
 
Tuonyeshe yenu yenye quality apartments. Mnaumia sana every time you remember that dreamhouses is all you got in Dar. It must be so painful
What do you mean quality apartment!?
Tanzania kila mtu anajenga Nyumba yake.
Do you own house in your country!?
 
Munapiga mdomo hapa na munakufa na malnutrition hata kuliko wakenya. Heri sisi hua hatufichi na ndio maana tunajua pahali shida iko ili turekebishe.

 
Back
Top Bottom