Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Uchumi wa kwenye makaratasi eti 🔥 🔥
Uchumi wa kwenye makaratasi eti 🔥 🔥
Pesa si ni karatasi piaUchumi wa kwenye makaratasi eti![]()
![]()
Tabia za namna hii zipo sana Kenya makanisa yanageuzwa majukwaa ya siasa.Wanasiasa bana, pale alialikwa kuhudhuria uzinduzi wa familia mpya au kuongelea siasa? Mimi nilitegemea baada ya kupewa nafasi ya kuongea, angetumia nafasi ile kuwashauri hawa wanandoa wapya, kwamba wafuate maadili mema kama walivyofundishwa na kiongozi wao wa dini kwa kutumia vitabu vitakatifu. Wapendane kama wanavyopendana sasa, wawe waaminifu kwa Mungu wao na pia kwa mmoja na mwenzake. Wavumiliane kama wenyewe wanavyovumiliana katika ndoa yao kongwe.
This floating resort is epic.., I like it, hakuna joto ya pwani no need for aircon., 😍 👍 wish unge post close-up pic., zoom..,
picha tamu tamu hizi

Nikiangalia hizi issue za formal economy huwa natokwa na machozi
View attachment 2002912



nimecheks sana ,huyo mzee wa formal economy ukimuuliza kwenye wiki huwa anaenda mara ngapi kununua bidhaa kwenye mall inawezekana akakosa jibu au akaongopa,
yaani na ubaya wa korosho huwa hauotioti ovyo kila sehemukuna watu wanapiga hela. hili zao inabid tuliendelezee zaidi, dunian tuwe tunaongoza na kuaminika
View attachment 2002915
wapo vizuri yaani kulingana na changamoto zote za covid ila tulikula saani mojaNashauri hawa wakorea waliojenga hili Daraja na strabag wapewe kazi nyingine ikiwezekana phase 3 BRT Maana wanaenda kwa muda Kwenye kazi zao
View attachment 2002948