Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,627
msikieni huyu mbwa
Huyu mpori pori dish limeyumba pambavu
msikieni huyu mbwa
Kila kitu kwa ss kinakuja Tz, investors huwezi kuwaongopea wacheze kamari kupeleka Investment zao kwenye vinchi maskini na vyenye laana kama Kenya.
Hapa kidogo imekaa poa.
Mkuu unaendeleaje?.hapo Tz au ulaya
Sky scraper.
Mkuu inabidi tuanze kuhesabu moja baada ya nyingine, unajua tatizo cc huwa hatuweki mkazo wa kuhesabu haya maghorofa ya over 20 floors, lkn kiuhalisia hapa Dar yanaweza kufika 50 na zaidi, alafu pia shida ni kwamba hawajafanya updation on google ndio maana huwezi kuyaona, ila nashauri tuyahesabu upya yapo zaidi ya 50.huku kulia, kuna ghorofa nimehesabu ina floors zaid ya 20.. na kwenye list yetu nadhan haikuwepoView attachment 1998887
Taa muhimu.Unaonaje wakiweka taa za barabarani...
supposed to be written several (5/6/7) one/two storey(s) buildings! Storey stands for levels/number of floors)!Storey = singular
Storeys = plural
Building = singular
Buildings = plural.
Unatumia google images kujifunza plural. You people are funny. By the way, those are multiple images of 7 storey buildings. You guys are daft AF.í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Niheshimu maoni yako kwanza,dunia ni moja tofauti za kigeographia izo ziko juu ya uwezo wetu ila bado hadi leo hatuna maisha bora hapa nadhan unaelewa vizuri sihitaji kufafanua sana....wanatuzidi kila kitu ambacho tunachoweza fanya ,leo tunajenga reli ya sgr wanaojenga ni wao...tunahitaji chuma cha reli inabid tuagize Japan,tukihitaji ndege tuagize kwao...tukihitaji magari tuagize kwao hadi chupi nizakuagiza ng'amboTunaishi hovyo kwa kutumia vigezo vipi? Hii ni Africa haiwezi kufanana na Ulaya hata iweje, wao wana maisha yao kutokana na mazingira yao mabovu naturally, so wanatumia standard zao ku rank dunia nzima, btw hata kama tunaishi hovyo lkn tuko vzr zaidi ya vinchi vingi vya kiafrika mfano Kenya.
Kumependeza sana kumbe tukiacha ujinga tunawezaView attachment 1998803
Coco Mihogo
Kwahiyo hii ndio maana ya cc kuwa na maisha mabovu?Niheshimu maoni yako kwanza,dunia ni moja tofauti za kigeographia izo ziko juu ya uwezo wetu ila bado hadi leo hatuna maisha bora hapa nadhan unaelewa vizuri sihitaji kufafanua sana....wanatuzidi kila kitu ambacho tunachoweza fanya ,leo tunajenga reli ya sgr wanaojenga ni wao...tunahitaji chuma cha reli inabid tuagize Japan,tukihitaji ndege tuagize kwao...tukihitaji magari tuagize kwao hadi chupi nizakuagiza ng'ambo
Ndo nilitaka kusema hapa, hawa jamaa tukiweka kitu kipya huwa wanakimbia kwa muda zen wanarudi, muda wa kukimbia battle inategemea na kitu tulichokiweka, kikiwa kikali kiasi huwa wanapotea kwa wiki zen wanarudi, kikiwa kikali sn huwa wanapotea hata miezi miwili mpk mitatu, wana roho mbaya sana hawa watu.Wakenya baada ya kuona Tanzanite Bridge wamepotea
Baada ya kujenga hivyo viwanja tuandae African tournament mana infrastructures tayari zitakuwa ni supportive.nataman sana ujenzi wa uwanja wa Dodoma uanze mapema, na katika kutafuta mkandaras na michoro yao proposed, nataman atokee mwingine na serikali ikubali kujenga uwanja mwingine Mbeya.. hata kama ni kwa mkopo.. Tanzania ni kubwa.. tunastahili kuwa na viwanja vikubwa at least vitatu kama cha mkapa
Watu wanaishi kwa buku mbili kwa sikuKwahiyo hii ndio maana ya cc kuwa na maisha mabovu?