Tuwache maswali ambayo hayana tija. Wewe unaijua historia ya uongozi wa Egypt kweli? Mimi ninaifahamu vizuri tangu enzi za Egypt walipokuwa wanaongozwa na king halafu huyo king akapinduliwa na wanajeshi akina Abdel Nasser in the 1950s. Kuanzia hapo Egypt imekuwa ikiongozwa na Wanajeshi bila uchaguzi wa urais kuwahi kufanyika. 2011 baada ya Arab spring revolution Hosni Mubarak ambaye pia alikuwa mwanajeshi na alikuwa amekwama kwenye madaraka kwa miaka 30 alitolewa kwa nguvu na 2012 uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia wa urais ulifanyika. Morsi ndiye alichaguliwa na kuwa rais wa kwanza kuwahi kuchaguliwa na wananchi wa Egypt. Kwa bahati mbaya rais huyu hakumaliza hata miaka miwili madarakani kabla ya serikali yake kupinduliwa na jeshi tena na mwanajeshi mwingine Al Sisi kushika hatamu. Huyu Morsi alifungwa jela na akafariki akiwa gerezani. Viongozi wote wa serikali ya Morsi walifungwa gerezani na wengine wamekufa gerezani. Egypt ni one of the most pathetic, disgusting, shit-hole countries likija kwenye suala la demokrasia.
Chamoto ninajua ninachozungumzia.