Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

but the fact still remain and shall still continue remaining kenyaland is the dorminant and the most sophisticated economy in this eastern africa block. then we have nigeria in the west, SA to the south, egypt to the north, kenya in the east... thats just but the truth of the matter. kubalini tu matokeo.. we've been this way eversince indepence(1963), and we are not about to relent anytyme soon.. we just can't let go coz we are the most hardworking pipo and with the most brilliant brains.. kwa sasa ni hayo tu, habari ndo hio
Time will tell sit back,relax and wait 🙂
 
but hakuna siku nilishawai sikia tz to be EA powerhouse, infact nyerere mwenyewe alitaja kenya kama uzunguni, na nairobi, half london
Wazungu hawafi njaa wala kuangaika na tribalism,nepotism,uwizi,uongo etc ,na uporaji wa maali ya umma🙂
 
world class bus from kunyaland
IMG_2580.jpg
 

Despite the opinion, Kenya has a big economy where mtu wa bidii na kujituma ana make it without looking at wahindi, waarabu ama wazungu., like this inspiring journey of a Kenyan woman in Kenya., in Tz balaa, ni empty Kiswahili tu., ..,
 
What is democracy?
Tuwache maswali ambayo hayana tija. Wewe unaijua historia ya uongozi wa Egypt kweli? Mimi ninaifahamu vizuri tangu enzi za Egypt walipokuwa wanaongozwa na king halafu huyo king akapinduliwa na wanajeshi akina Abdel Nasser in the 1950s. Kuanzia hapo Egypt imekuwa ikiongozwa na Wanajeshi bila uchaguzi wa urais kuwahi kufanyika. 2011 baada ya Arab spring revolution Hosni Mubarak ambaye pia alikuwa mwanajeshi na alikuwa amekwama kwenye madaraka kwa miaka 30 alitolewa kwa nguvu na 2012 uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia wa urais ulifanyika. Morsi ndiye alichaguliwa na kuwa rais wa kwanza kuwahi kuchaguliwa na wananchi wa Egypt. Kwa bahati mbaya rais huyu hakumaliza hata miaka miwili madarakani kabla ya serikali yake kupinduliwa na jeshi tena na mwanajeshi mwingine Al Sisi kushika hatamu. Huyu Morsi alifungwa jela na akafariki akiwa gerezani. Viongozi wote wa serikali ya Morsi walifungwa gerezani na wengine wamekufa gerezani. Egypt ni one of the most pathetic, disgusting, shit-hole countries likija kwenye suala la demokrasia. Chamoto ninajua ninachozungumzia.
 
world class bus from kunyaland
View attachment 1987033

Photo Interpretation , Geography 101.

1. From the Photo we can tell the Standard of Public Transport in this area, More importantly the Mud and dust on the Bus also tell us a lot about the road quality and conditions.

2. The photo is a close up view taken in the noon between 12:00-13:00 as depicted by the shadow of the Bus.

3. Conclusion, From the Huge lock on the rear exit of the bus like a lock from the Mangi Shop tells us that, Originally a cargo vehicle which was converted to PSV is now officially back to Cargos. The lock is to protect shippers cargos and Parcels.

Hivi ndio tulipataga Misonge ( Banda) ya Necta JogJ/K
 
Tuwache maswali ambayo hayana tija. Wewe unaijua historia ya uongozi wa Egypt kweli? Mimi ninaifahamu vizuri tangu enzi za Egypt walipokuwa wanaongozwa na king halafu huyo king akapinduliwa na wanajeshi akina Abdel Nasser in the 1950s. Kuanzia hapo Egypt imekuwa ikiongozwa na Wanajeshi bila uchaguzi wa urais kuwahi kufanyika. 2011 baada ya Arab spring revolution Hosni Mubarak ambaye pia alikuwa mwanajeshi na alikuwa amekwama kwenye madaraka kwa miaka 30 alitolewa kwa nguvu na 2012 uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia wa urais ulifanyika. Morsi ndiye alichaguliwa na kuwa rais wa kwanza kuwahi kuchaguliwa na wananchi wa Egypt. Kwa bahati mbaya rais huyu hakumaliza hata miaka miwili madarakani kabla ya serikali yake kupinduliwa na jeshi tena na mwanajeshi mwingine Al Sisi kushika hatamu. Huyu Morsi alifungwa jela na akafariki akiwa gerezani. Viongozi wote wa serikali ya Morsi walifungwa gerezani na wengine wamekufa gerezani. Egypt ni one of the most pathetic, disgusting, shit-hole countries likija kwenye suala la demokrasia. Chamoto ninajua ninachozungumzia.
But Egypt is has top 3 biggest Economy in Africa, kwahiyo kumbe uchumi peke yake hauna maana au unajaribu kufanya "Maneuvers' ili kuhakikisha unashinda mjadala?
 
Back
Top Bottom