Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa Una maswali ya ajabu Sana!
Ungekua umebaatika kufika hata Tanzania tunge debate you don't have any idea of what you are talking about 🙂
Swali la ajabu sababu jibu unalijua na hulipendi? 🤣 🤣
Nani kakwambia sijafika Tanzania? Tanzania nimefika, biashara kubwa hazimo mikononi mwa Mwafrika mweusi.
 
Swali la ajabu sababu jibu unalijua na hulipendi? 🤣 🤣
Nani kakwambia sijafika Tanzania? Tanzania nimefika, biashara kubwa hazimo mikononi mwa Mwafrika mweusi.
Umefika Tanzania wapi? Tuelezee wapi hapo ulikaa ukaona ubaguzi wa rangi labda sisi hatuna habari🙂
 
Endeleeni na ukabila wenu muone Kama uchaguzi unaokuja hakutofanyika "Genocide" Kama ya Rwanda, ninyi ni watu "primitive", you see everything though lenses of tribalism, stupid.
Sisi ni primitive ilhali tuna nchi iliyoendelea kiuchumi kushinda yenu?
 
Genocide ilifanyika kisa kabila moja lililo na watu wachache lina mali kuliko kabila lingine lililo na wengi. The same thing happening in Tanzania now. In fact it is worse - Wahindi na waarabu hawafiki hata elfu mia moja yet wameshikilia Uchumu wa jiinchi lenye watu milioni sitini.
I repeat, we are not primitive like you, stop your tribalism, otherwise will request moderator to ban you.
 


emoji1787.png
emoji1787.png
 
Umefika Tanzania wapi? Tuelezee wapi hapo ulikaa ukaona ubaguzi wa rangi labda sisi hatuna habari🙂
I have been to Arusha and Dar es Salaam and Serengeti National Park. Msidhani mnapotoa ignorant comments on Kenya pia zetu ni ignorant hivo. Nimekuuliza swali, mbona kundi la watu 80k limedominate list ya richest people in Tanzania nchi yenye watu milioni 60? Najua hampendi ukweli but hapo lazima kuwe na tatizo. Shida yenu wabongo mnapenda kutia vichwa mchangani - hata media yenu mmeibana ila mkiambua kuwa wawazi mtagundua kuna shida mahali.
 
I have been to Arusha and Dar es Salaam and Serengeti National Park. Msidhani mnapotoa ignorant comments on Kenya pia zetu ni ignorant hivo. Nimekuuliza swali, mbona kundi la watu 80k limedominate list ya richest people in Tanzania nchi yenye watu milioni 60? Najua hampendi ukweli but hapo lazima kuwe na tatizo. Shida yenu wabongo mnapenda kutia vichwa mchangani - hata media yenu mmeibana ila mkiambua kuwa wawazi mtagundua kuna shida mahali.
Kusema umekua Arusha,DSM ndo nini? Swali simple DSM au Arusha ulikua wapi ukaona kuna ubaguzi? Serengeti kuna wanyama Pori wanabaguana kwa misingi ya rangi na kikabila kama nyie?
Aisee wakunya you have a long way to go😔😔😔
 
Naomba wakunya mliomo humu ndani mtambue kwamba swala la ubaguzi lipo kwenu Tu,MSI force Tanzania tufanane na nyie failed state,ukabila hujawahi kumuacha MTU salama pambaneni wenyewe leave Tanzania the hell alone jinga Sana 🙄
 
Back
Top Bottom