The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Bado hawasemi ukweli.Recent IMF report inasema 69bn usd
Bado hawasemi ukweli.Recent IMF report inasema 69bn usd
$62 nadhani ni ndogo sana. Nadhani Gdp yenu inastahili kuwa $70 billion by now.Last yr 2020 ilikua $62b haijaexpand vizur sababu ya covid-19 pandemic
Kwamba buses zilizochoka za Tz zinaenda Kenya au? Sasa nihakikishie kwamba ni hivyo ili nisave hii pichaUmeona nini.








Ni mpuuzi tu anayeweza kukubali huu ujinga.Tanzania tupo stagnant eti![]()
Geza amekuja huku? Naona ban yake imeisha. Nimemuona sasa hivi huko kwenye uzi wa Lamu port. 😆😆😅Bado hawasemi ukweli.
Wewe ni mkenya pekee unaye debate kistaarabu, ofcz u r a Tz by natureNaona mnaanza kujaza maji kwenye bwawa lenu? Ni hatua nzuri.



Amefika hata humuGeza amekuja huku? Naona ban yake imeisha. Nimemuona sasa hivi huko kwenye uzi wa Lamu port.![]()





Make Google your friend.Leta hiyo list ya top twenty richest people in Tz tuone, sio kelele tu na huna facts
Angalia tena halafu uniambie umegundua nini.Kwamba buses zilizochoka za Tz zinaenda Kenya au? Sasa nihakikishie kwamba ni hivyo ili nisave hii picha![]()
Geza amekuja huku? Naona ban yake imeisha. Nimemuona sasa hivi huko kwenye uzi wa Lamu port. 😆😆😅
Amefika hata humu![]()
Endeleeni kutawaliwa Na Wahindi.Usituambukize ukabila please, Tanzania is a civilized Country![]()
Tofauti yangu Na wewe nimesema ukweli, unarudia uongo was kujiliwaza.Unajua hawa wakenya ni wapuuzi sana wanajisahau, wanatupigia kelele eti Ooh uchumi wetu upo kwenye mikono ya waarabu na wahindi, kwamba watanzania weusi si chochote.. sasa swali la kujiuliza Kati ya kenya na Tanzania ni wapi ambapo foreigners wamepatawala.? Hata most of the buildings in their CBDs ar owned to neither black kenyans nor GoK.. hata ukiona real estate developers wa kishua sio kenyans, hata kwenye apartments zenye wanaishi wadosi most of them ni whites.. ni ajabu kuona wakenya wanatubeza kisa waarabu na wahindi ambao ni tanzanians by birth.. hivi nyie kenyans mñafikiri bila foreigners kujenga Kenya mnadhani hata hii battle ingekuepo.? You ar nothing without foreigners.. Inabidi mtuheshimu sana nyie kenge.. naongea na wewe NairobiWalker
Mlisema wako huko kisa kutoroka njaa Kenya. Anayetoroka njaa atakuwaje na kibali cha kuishi nchi isiyo yake?Wale wanokuwa identified na kupigwa picha kama walewezi huwa wanapigwa bomba. kwa nini nyinyi msifanye hivyo?
Kwamba ni Rais mbovu kuliko wote waliowahi kutokea TzNa msimamo wangu dhidi ya Magufuli upo palepale!






We unafikiria huku ni kama kwenu ,eti parklands, south c na pangani wanakaa watu Fulani 🙄
Kwanza Mimi jirani yangu ni mu Asia wote tuna nunua bizaa kwa mange,wote tuna tunatumia daladala na yeye anafua na kuanika tunapo Anika! Nakuambia ubaguzi tuliwaachia nyie wakunya 🙂
Ukweli kawaida huuma.Wewe umeishiwa hoja🙂
hahahaha imf haisemi ukweli wanaonea tanzania hawaipendi naskia tazania wako na $220bBado hawasemi ukweli.
Simba out of CAFCL (off to CAFCC playoffs)
Azam out of CAFCC
Biashara out of CAFCC (not officially thou)
Yanga out of CAFCL
Tanzania football in the mud![]()
Na msimamo wangu dhidi ya Magufuli upo palepale!

