Wadau huu mjadala umekolea sana, upo very ironically, umenirudisha nyumba kabisaaaa. Nitasamarize kidigo
Kulikuwepo na great roman empire ikafall, akaja napoleon wa ufaransa, akaja metternich wa austria akaanza kuanguka miaka 1840's, wakainuka wakina bismark as coachmen of eropean miaka 1870s wakaja wakina mussolini and hitler miaka miaka 1920s tukashuudia kuibuka kwa marekan na urusi under V.lenin mwanzoni mwa miaka 1918 na kushika kasi miaka ya 1940s but nowdays tunamuona mchanise akipita njia zilezile.........
Sura na mtililiko huo umenifanya niangalie kwa jicho la tatu na kufikiri nje ya boksi, kulikoibua swali fikirishi......" The rise of Tanzania as EA superpower"
Hiyo ni historical trend tu ya kwamba "nothing last forever", nitaweka material evidences siku nyingine Mungu akijaria
Jumapili njeema