Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unaweweseka mzee, naona umeanza kujishuku..ile ya sauz je?
New York of East africa
JamiiForums1414739844.jpg
 
Hii haijakaa sawa kabisa. $400 to more than 50M Citizens, $100 to less than 2M Citizens. Huyu mama nazidi kushindwa kumuelewa
Kuna watu wanamshangilia kwenye kupindisha sheria za manunuzi SGR lot 3 & 4 nadhani wanafikiria kule sawa ila kwenye mikopo atatumia 4% kisheria?
 
labda kweli kuna upendeleo, lakin tuongelee na impact ya covid kati ya Bara na Visiwa. pia hizo $100m watarudisha zanzbar wenyewe au Tanzania kwa ujumla
Tanzania ndio itarudisha, Hivi unajua hata boom visiwani ni 100% na hamna riba? Tax ya kuingiza bidhaa mfano gari kule ni 60% ya Bara. Ufisadi uliopo Zenji hua hauwekwagi wazi ila ni mkubwa kinyama. Hawa watafaidi kama Hong Kong kisha waanze kudai uhuru
 
Back
Top Bottom