Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
dah mali inasonga hiyo,,vigezo vya kufuzu point kumi washatimiza,kilichobaki kutoruhusu wafungwe tu
dah mali inasonga hiyo,,vigezo vya kufuzu point kumi washatimiza,kilichobaki kutoruhusu wafungwe tu
Hii haijakaa sawa kabisa. $400 to more than 50M Citizens, $100 to less than 2M Citizens. Huyu mama nazidi kushindwa kumuelewa
benin tumewazid magoli mkuui hope watafungwa ili wabaki na points 5..
tunatakiwa tuwafunge madagascar kwao na DR Congo home kwetu magoli mengi.. sisi na Benin tunafanana kila kitu hadi magoli.. walitufunga kwetu kwa moja, na tumewafunga kwao kwa moja..
Mpira ni kwa ajili ya watu walioshiba.
kuna wadau tumejichanganya huku tumebet ushindi kwa congo ,,hivyo kumuombea congo kushindwa dah ,!!! ni nomaMadagascar wajitahidi angalau wapate droo ili tubaki hapo kwenye qualified for the next round.
Kwani wakuu baada ya kutoka hatu hii kuna hatua ipi ili kwenda WC.
wametoboa ila kwa mbinde,tulifanya makosa sana kuwaruhusu kushinda benjamin mkapaOya hawa wehu wameshinda leo? Sikutaka hata kuwatazama.
New York of East africaMbona unaweweseka mzee, naona umeanza kujishuku..ile ya sauz je?
Dah TAIFA STARS tumeshinda moja na tunarudi kwenye kuongoza kundi labda congo ashinde,,ila tulikamiwawamesikia
mali kwa sasa yupo vizuribado sana, kuna uganda hapo anamfukuzia kwa udi na uvumba
Pumzika ushachoka, ushazeekaHehehe the person who said that Tanzanians use 1% of their brain to reason didn't lie. Kununua ndege ndio inakufurahisha? I have build the classrooms? What about teachers have your government recruited enough teachers to teach public schools?





Kuna watu wanamshangilia kwenye kupindisha sheria za manunuzi SGR lot 3 & 4 nadhani wanafikiria kule sawa ila kwenye mikopo atatumia 4% kisheria?Hii haijakaa sawa kabisa. $400 to more than 50M Citizens, $100 to less than 2M Citizens. Huyu mama nazidi kushindwa kumuelewa
Kwani wakuu baada ya kutoka hatu hii kuna hatua ipi ili kwenda WC.
Tanzania ndio itarudisha, Hivi unajua hata boom visiwani ni 100% na hamna riba? Tax ya kuingiza bidhaa mfano gari kule ni 60% ya Bara. Ufisadi uliopo Zenji hua hauwekwagi wazi ila ni mkubwa kinyama. Hawa watafaidi kama Hong Kong kisha waanze kudai uhurulabda kweli kuna upendeleo, lakin tuongelee na impact ya covid kati ya Bara na Visiwa. pia hizo $100m watarudisha zanzbar wenyewe au Tanzania kwa ujumla
Wacha maneno wewe pimbi, 53% ya loan ya Kenya ni External, labda Kama Kenya ni sehemu ya China (China Republic of Kenya)![]()






Hata sijakuelewa mzee, ukishaanzaga kutetea uongo hata maelezo yako yanakosa pointssi mnamshangilia kwenye kupindisha sheria za manunuzi SGR lot 3 & 4 au mnafikiria kule sawa ila kwenye mikopo atatumia 4% kisheria?
Hapo sawa.magrup yapo 10 hapo.. kila top anaenda kucheza playoffs ili zipatikane timu 5 zinazotakiwa za Africa kushiriki WC
Haikuwa yako wrong message! Sorry!Hata sijakuelewa mzee, ukishaanzaga kutetea uongo hata maelezo yako yanakosa points
Nchi inapewajwe grants za miundombinuHakuna nchi inayopokea food donations duniani, labda nchi zenye civil wars or natural calamities, only Kenya, hata chakula hakuna, hiyo ni laana




Acha kuvunga picha inajieleza kwamba WAKENYA pamoja na kupiga domo wanaisha kwa shida Sana hata maji ni shida Sana kwa wananchi maskini,hii inaonesha jinsi mlivyo masikiniKenya defence forces wala sio IMF