Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji1241][emoji1241][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1434]
IMG_2278.jpg
 
Kukiwa na maana Congo wakishinda wanakuwa nafasi ya kwanza kwa point 8 huku Tanzania ikiwa nafasi ya pili kwa point 7!

i hope watafungwa ili wabaki na points 5..
tunatakiwa tuwafunge madagascar kwao na DR Congo home kwetu magoli mengi.. sisi na Benin tunafanana kila kitu hadi magoli.. walitufunga kwetu kwa moja, na tumewafunga kwao kwa moja..
 
Hata bajeti yetu ya elimu inaweza kununua ndege mpya kila mwaka bila kupumzika, na tunaweza pia bila kutumia hiyo pesa ya bajeti ya elimu kununua ndege 16 ndani ya miaka 5 kama tulivyofanya, kuanzia 2017 mpaka leo tumeshanunua ndege 16 brand new, 11 zimeshatua, that means sisi tupo vizur, kwanini usikubaliane na ukweli.. heb niulize ni taifa gani hapa EA inaweza shindana na sisi.? With in just 5 years, tumenunua ndege 16 cash, na hakuna sector yoyote inayumba na tuna miradi mikubwa kibao tunaendesha ndani ya mda huo huo, kweli sisi sio EA superpower.?
Hehehehehee mkuu naona unazidi kumshindilia kisu cha tumbo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
i hope watafungwa ili wabaki na points 5..
tunatakiwa tuwafunge madagascar kwao na DR Congo magoli mengi.. sisi na Benin tunafanana kila kitu hadi magoli.. walitufunga kwetu kwa moja, na tumewafunga kwao kwa moja..
Madagascar wajitahidi angalau wapate droo ili tubaki hapo kwenye qualified for the next round.
 
Haina economy impact yyte hyo donatio wala treasury haihusiki na hyo donation..
Lkn nyinyi sasa, mnapewa mpka flyover donation..yani mumeshindwa kabisa kunyanyuka
Hivi unajua umaskini wakushindwa kujilisha una aibu kiasi gani?Kama mngekuwa na pesa mngenunua chakula na sio kupewa msaada wa Chakula mtu anaekupa chakula cha msaada anaweza akakufanya chochote hata NYUMA! Mmae,hapana chezea njaa ww.
 
Back
Top Bottom