Given a fact, gari inashuka thaman bada ya kununua tu...ila jilipue sio mbyaahii kitu.. zero age imenifanya niwaze kuwa serikali inatumia hela nying sana.. nimecompare na vile najaribu ninunue gari kali la zero km (0-1000km) afu nakuta inakuja hela ndefu sana
afu hesabu nyingine zinakuja.. hio hela ndefu si bora ninunue vitoy vingine kama vitatu hiv
View attachment 1968601
Wacha uongo buda, Unajuwa kuwa Ali Hassan Mwinyi ni Mtanganyika wa kuzaliwa baba na mama kaja Zanzibar kulelewa na kawa Rais wala hujamsikia yeyote kulalamika. Mwanawe ni Mzanzibara Mama mzanzibari na Baba Mbara ni Rais wa Zanzibar mkewe Mbara na wala hakuna anaelalamika. Iweje mtu awe mpaka rais lakini asiruhusiwe kumiliki ardhi. Tuondolee unafiki hapa. Kinachokuumeni ni Mzanzibari kuwa Rais wa Tanzania na ni mara ya kwanza tokea uhuru kutokea.Hii kitu inaniumiza Sana, natamani huu MUUNGANO uvunjwe tu Kila mmoja akae kwao, Yaani wazanzibari wanajiona ni unique Sana kuliko watanganyika,sipendi hii inshu kabisa.mzanzibari anatawala huku bara na visiwani,Ila mtanganyika haruhusiwi kununua hata kipande cha ardhi Zanzibar.
Naona swala la MGR kubaki MGR linakuumiza kumbeEsiiijiiaraaa ya kunya sawa kabisw na MGR ya Tz...nibandugu![]()



Mnawapa moyo ama mnawapa ugonjwa wa moyo? Huoni maudhurio yap ni hafifu siku hizi usije kukuta wamekata moto kwa pressure.Ndani ya muda huo huo wa miezi mitatu tukazindua kituo cha haki (mahakama) ndani ya capital city View attachment 1968569Serikali bora zaidi Africa mashariki na kati, ikazindua ujenzi wa majengo 24 yenye gorofa kuanzia sita Hadi kumi na moja ndani ya mji wa serikali (Magufuli City)View attachment 1968564View attachment 1968565
. . Sigusi upande wa barabara, tuishie humu kwanza.. swali langu kwako bro The best 007. hiv huoni kwamba sisi tupo humu kuwapa moyo tu hawa jamaa zetu wa kenya akina Tony254![]()
.. NB, miradi yote niliyopost imefanywa na serikali sikuvu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
View attachment 1968566
Yes ni MGR ambayo ni continous welded the only one of its kind in EA.Naona swala la MGR kubaki MGR linakuumiza kumbe
mgr ni mgr tu mzee..pole sana
Kiba yuko kenya anachukua pesa zake 🤣🤣
Kamalize ishu ya starvation kwanza Turkana uwache kuropoka.Starvation sio? Hadi Congo tunawapa msaada dadeq na bado tumekita, huoni utajinyonga na issue za KE? 😂 😂 😂 😂
Aisee mi nimeona hiyo aggregate ya Uganda 10:3 Kenya!
Kwa uelewa wangu ina maana mechi ya kwanza Uganda 7: 2 Kenya !🙆♂️🙆♂️🤷♂️
Sindio wanalipa kodiWw ilitaka setekali isomeshe wazazi???
bruh these the same people celebrating because they bought 2 planes. it's in their psyche to get tickled by small things.lakini tz mnajipenda sana.... yani, 22likes kwa hii barabara tu!🤔🤔. tena kwa hii hii thread 'Dar vs Nbi'.. ingekua sisi ingepata like mbili ama tatu ivi.. sisi hatujali saaaana.. View attachment 1968728
bruh these the same people celebrating because they bought 2 planes. it's in their psyche to get tickled by small things.
Huo uwanja upo kama wa Dar na hauvutii kabisa ni bora wangeleta design mpyaWakala wa ujenzi ni TBA hao Tanroads veepe?
Huo mchoro ni mzuri sasa unaposema nibaya sijui unalinganisha na upi?