Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii kitu inaniumiza Sana, natamani huu MUUNGANO uvunjwe tu Kila mmoja akae kwao, Yaani wazanzibari wanajiona ni unique Sana kuliko watanganyika,sipendi hii inshu kabisa.mzanzibari anatawala huku bara na visiwani,Ila mtanganyika haruhusiwi kununua hata kipande cha ardhi Zanzibar.
Kenya kikundi kinajiita MRC kilijaribu huu ujinga eti 'Mombasa sio Kenya' walikipata cha mtema kuni.
Hii ya Zanzibar ni ubaguzi kwa watanganyika.
FBKjOgeWUAA0QMb.jpg
 
Ila sisi Tanzania bhana tuna hatari sana, heb cheki ndani ya miezi mitatu tu tumeingiza/tumepokea ndege aina ya Air bus tulizonunua kwa pesa zetu mbili
dodoma_zone__1633712142995540.jpg
dodoma_zone__1633712142995422.jpg
dodoma_zone__1633712142995135.jpg
ndani ya miezi hiyo hiyo tulipokea mabasi 70 ya BRT system. . Haitoshi ndani ya miezi muda huo huo tena tukapokea behewa za treni 44 . Vichwa vyake hivi Apo chini 👇
2948048_IMG_1501.jpg
2948047_IMG_1500.jpg
2948038_JamiiForums-1258428499.jpg
... Tony254 njoo uku bro ujifunze kitu, sisi sio size yenu tena ikija kwenye suala la usafiri na usafirishaji..
 
Ndani ya muda huo huo wa miezi mitatu tukazindua kituo cha haki (mahakama) ndani ya capital city
dodoma_zone__1633715216988897.jpg
Serikali bora zaidi Africa mashariki na kati, ikazindua ujenzi wa majengo 24 yenye gorofa kuanzia sita Hadi kumi na moja ndani ya mji wa serikali (Magufuli City) 👇
dodoma_zone__1633714756283738.jpg
dodoma_zone__1633714756284538.jpg
2958046_dodoma_zone__1633714756284492.jpg
. . Sigusi upande wa barabara, tuishie humu kwanza.. swali langu kwako bro The best 007. hiv huoni kwamba sisi tupo humu kuwapa moyo tu hawa jamaa zetu wa kenya akina Tony254 😂😂😂.. NB, miradi yote niliyopost imefanywa na serikali sikuvu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

dodoma_zone__1633714756284492.jpg
 
Ila sisi Tanzania bhana tuna hatari sana, heb cheki ndani ya miezi mitatu tu tumeingiza/tumepokea ndege aina ya Air bus tulizonunua kwa pesa zetu mbiliView attachment 1968520View attachment 1968521View attachment 1968523ndani ya miezi hiyo hiyo tulipokea mabasi 70 ya BRT system. . Haitoshi ndani ya miezi muda huo huo tena tukapokea behewa za treni 44 . Vichwa vyake hivi Apo chini 👇View attachment 1968533View attachment 1968535View attachment 1968538... Tony254 njoo uku bro ujifunze kitu, sisi sio size yenu tena ikija kwenye suala la usafiri na usafirishaji..

Mabasi ni 140 mkuu sio 70
 
Ila sisi Tanzania bhana tuna hatari sana, heb cheki ndani ya miezi mitatu tu tumeingiza/tumepokea ndege aina ya Air bus tulizonunua kwa pesa zetu mbiliView attachment 1968520View attachment 1968521View attachment 1968523ndani ya miezi hiyo hiyo tulipokea mabasi 70 ya BRT system. . Haitoshi ndani ya miezi muda huo huo tena tukapokea behewa za treni 44 . Vichwa vyake hivi Apo chini View attachment 1968533View attachment 1968535View attachment 1968538... Tony254 njoo uku bro ujifunze kitu, sisi sio size yenu tena ikija kwenye suala la usafiri na usafirishaji..


hii kitu .. zero age imenifanya niwaze kuwa serikali inatumia hela nying sana.. nimecompare na vile najaribu ninunue gari kali la zero km (0-1000km) afu nakuta inakuja hela ndefu sana
afu hesabu nyingine zinakuja.. hio hela ndefu si bora ninunue vitoy vingine kama vitatu hiv
IMG_2254.jpg
 
Ila sisi Tanzania bhana tuna hatari sana, heb cheki ndani ya miezi mitatu tu tumeingiza/tumepokea ndege aina ya Air bus tulizonunua kwa pesa zetu mbiliView attachment 1968520View attachment 1968521View attachment 1968523ndani ya miezi hiyo hiyo tulipokea mabasi 70 ya BRT system. . Haitoshi ndani ya miezi muda huo huo tena tukapokea behewa za treni 44 . Vichwa vyake hivi Apo chini View attachment 1968533View attachment 1968535View attachment 1968538... Tony254 njoo uku bro ujifunze kitu, sisi sio size yenu tena ikija kwenye suala la usafiri na usafirishaji..
hatari
 
Back
Top Bottom