babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
kwa kweli wanaweza kukulisha hata buti la jejeHiyo pombe inatengenezewa hadi ma mavi ya binadamukula chakula local kenya kunaitaji moyo sana,kama mtu umeenda kutembea ukirudi tz lazima ukacheki afya yako
ni mwendo wa kutengeneza mabom yakuhatarisha matumbo
mwingine huyu kashakata tamaa ya life kitambo


Kenya competes at world level, Athletics, rugby, volleyball, cricket, kibadi,Kenge huwa husikii hadi damu ikutoke.
Kwa hiyo mnataka kujifananisha na Tanzania kwenye mpira?
Hamjashinda hata gemu moja mnadroo hadi na Rwanda
Nyie kwenye mpira ni farmer's league.
Usisahau pia kuwa timu ya taifa ya wanawake Tanzania leo imefuzu fainali kwenye kombe la COSAFA.
Hivi una habari kuwa bondia namba moja Africa anatokea Tanzania?
daaah!!!manyumba zimepangana Safi Kama mahindi😸😸😸alafu mbongo mmoja aingie na picha hazieleweki😄😄😄
Mbona wako wengi tu bongo😄😄😄
alafu ukute huyo ni omba omba toka huko kweni sababu wamejaa mjini balaa adi wanazingua
Tanzania is always a looser in any sport,![]()