Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20211007_234758_693.JPG
 
Hukisikia utani wa KUTAFUTA kupigwa na FLYTOILETS NDIYO HUU SASA komora096 ukuje kupiga mtu huku na flytoilet analeta utani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni utani kabisa unaoendana na maisha ya punda kwa jirani
 
Hiyo pombe inatengenezewa hadi ma mavi ya binadamu [emoji2957][emoji2957]kula chakula local kenya kunaitaji moyo sana,kama mtu umeenda kutembea ukirudi tz lazima ukacheki afya yako
kwa kweli wanaweza kukulisha hata buti la jeje
 
Kenge huwa husikii hadi damu ikutoke.

Kwa hiyo mnataka kujifananisha na Tanzania kwenye mpira?

Hamjashinda hata gemu moja mnadroo hadi na Rwanda [emoji23][emoji23][emoji23]

Nyie kwenye mpira ni farmer's league.

Usisahau pia kuwa timu ya taifa ya wanawake Tanzania leo imefuzu fainali kwenye kombe la COSAFA.

Hivi una habari kuwa bondia namba moja Africa anatokea Tanzania?
Kenya competes at world level, Athletics, rugby, volleyball, cricket, kibadi,

Nyinyi mko level za cosafa sijui chan sijui nini!!!
Compete at world level kwa mpira tuwatambue
Not regional STUPIDITY za Africa.
 
Back
Top Bottom