Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi najuwa nikipanda chai hau kahawa hekari moja hapa kiambu niuze, naweza nunua mahindi ya mtanzania hekari kumi na nibaki na hela kwa mfuko.nani mjinga
Hujanijibu swali we ndegere😃
 
nani hawajuhi kwa propaganda na unafikišŸ˜„šŸ˜„šŸ˜„huzuri medias zenu hazina influence yoyote hapa africa mashariki
Acha uongo, unavyovilazimsha havipo Bongo mzee.. unajifurahisha sana, sio mbaya lakini endelea
 
Hivi unajua hiyo picha uliyopost hiyo karanaka sasa hivi imehama mpya wanajenga ubungo ilipokuwa stendi ya mabasi kabla ya kuhamia mbezi?

Kila ukihamisha goli unakamatwa na wala hujiongezi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Acha uongo, unavyovilazimsha havipo Bongo mzee.. unajifurahisha sana, sio mbaya lakini endelea
Huyo boya nishamwambia hiyo mada tulimaliza zamani Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo boya nishamwambia hiyo mada tulimaliza zamani Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ Ahh kijana wetu tena itabid tumfariji kidogo na yeye tusimwache anisemeshe mwenyewe sana
 
Ni kenge na kenge huwa hasikii hadi damu imtoke.
Wafukara balaaa🤣🤣🤣

images (27).jpeg


images (6).jpeg
 
Tuambie hizo picha za mwaka gani ? Maana tz tulivunja maeneo ya bonde la msimbazi na mengine mengi ,wewe unaleta picha za 1998 huko na baadhi za mafuliko ya mvua kwa brt
Kamongo anazingua tunamwacha aendelee kujifurahisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
wewe unasema 1998 ,wengine wanasema hapo sio Tanzanian🤣🤣🤣🤣adi rahaa
Tuambie hizo picha za mwaka gani ? Maana tz tulivunja maeneo ya bonde la msimbazi na mengine mengi ,wewe unaleta picha za 1998 huko na baadhi za mafuliko ya mvua kwa brt
 
Back
Top Bottom