Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,900
- 103,770
Kenya imeshindikana sema Wana kiburi na misifa😃Nchi yenye njaa, ukosefu wa ajira wa kiwango cha kimataifa, magonjwa ya kila aina, wizi na ufisadi wa kutisha ije ku invest Tz![]()
Wameanza kujenga nchi yao kipindi hiko Tanzania ipo busy kusaidia nchi za kusini mwa Africa kupigania uhuru wao halafu tukaanza kujenga nchi yetu juzi tu hapo lakini sasa hivi tunawapumulia visogoni hawaamini wanachokionaWanajifanya wajuaji Sana hao jamaa![]()






Kwa hiyo mnafurahia mnavo fanyiwa na mchina?🙄🙄That's business between the states,,hakuna cha huruma wala kuumizana ,,,that's why China is where it is.
Huyo mkunya aliingia sehemu mby snYaani umeamua kumpa kichapo kila anapoenda humpi apumue mzee![]()





Mhuu!!! Wakuu hii imetulia mno.
Sisi tunakulanga chapoo,na mutura, chama choma na BIA😁😁😁😁Hvi Kenya mnakulaga nn zaidi ya githeri aisee
Hiyo ilikua kujipendekeza,hamna cha msaada bro ogopa mkunya sana🙄unaakili za mavi ya mbuzi,majanga yanapotokea kama community kusaidiana ni vitu vya kawaida pia haimaanishi kwamba tulishindwa kusolve na hatukuomba mtu msaada na si nyie pekee mlioleta wapo uganda,burundi n.k,, hivyo hata nyie mkipatwa huwa mnapata misaada ni vitu normal
You can't apply urbanization in Africa with European countries mzeee,,,for example Tanzania or DRC,urbanization happens becouse of poor infrastructure around rural areas and technology.take a look at Tanzania,land size almost twice that of Kenya but your cities and towns are still very slow quality standards compared to Kenya or Rwanda here in East AfricaMore than 95% of developed/countries with high quality of standard of living are highly urbanized, and more than 95% of underdeveloped countries are less urbanized, what can you conclude from this scenario?
hakuna kichapo hapo mzee,,,I doubt Kama Tanzania can even beat Rwanda in technology or well planned smart citiesYaani umeamua kumpa kichapo kila anapoenda humpi apumue mzee![]()
joto la jiwe anakujibu kitaalam ila wewe mkunya unamjibu kistory za base ya jaba...huoni utofauti hapo?hakuna kichapo hapo mzee,,,I doubt Kama Tanzania can even beat Rwanda in technology or well planned smart cities
Sasa mlikuwa mnapigania Uhuru for countries 100× more developed than Tanzania?? mko na shida kweli😄😄😄no wonder mnajifukiza adi national hospitalWameanza kujenga nchi yao kipindi hiko Tanzania ipo busy kusaidia nchi za kusini mwa Africa kupigania uhuru wao halafu tukaanza kujenga nchi yetu juzi tu hapo lakini sasa hivi tunawapumulia visogoni hawaamini wanachokiona
Swali la kujiuliza ni hivi, walikuwa wanajenga nini?
Halafu nimesoma historia mahali kuwa kuna mpigania uhuru mmoja wa kusini mwa Africa alimuomba gari Kenyatta senior ili alitumie kupigania uhuru...kenyatta akamyima gari halafu baada ya hiyo nchi kupata uhuru eti kenyatta senior akaenda kujikomba komba ili afanye biashara na hiyo nchi wtf![]()
Wacha upelekewe moto tu humu jamiiforums kwa aina ya huu urukiaji wa comments za watu humu hakika unastahili.Sasa mlikuwa mnapigania Uhuru for countries 100× more developed than Tanzania?? mko na shida kwelino wonder mnajifukiza adi national hospital
Apart from darslam mmejikaza nayo hapa which other town in Tanzania can you even compare to Mombasa or kisumu??joto la jiwe anakujibu kitaalam ila wewe mkunya unamjibu kistory za base ya jaba...huoni utofauti hapo?
In terms of what!...slums,uchafu, hunger, ukosefu wa maji safi na salama ya kunywa au kwenye nini ?Apart from darslam mmejikaza nayo hapa which other town in Tanzania can you even compare to Mombasa or kisumu??
Hakuna Cha Moto mzee, that's the reality 😄😄😄😄you mean nothing was happening in Tanzania while you were fighting for ukombozi???Wacha upelekewe moto tu humu jamiiforums kwa aina ya huu urukiaji wa comments za watu humu hakika unastahili.
Mlikuwa busy kujenga nchi, hivi ni nini mmejenga maana mbona hamna tofauti yoyote na nchi zingine za Africa?Hakuna Cha Moto mzee, that's the realityyou mean nothing was happening in Tanzania while you were fighting for ukombozi???
In terms of what!...slums, hunger, ukosefu wa maji safi na salama ya kunywa au kwenye nini ?
Embu kuwa specific.