Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unakimbia point yangu mzee, nakwambia hiv kk pekee Ina gorofa nyingi kuliko CBDs zenu zote tatu combined kama unabisha tuhesabu gorofa zilizopo CBDs zenu vs kk. Nikaongeza nikasema labda urefu na thamani ya baadhi ya majengo yenu ndio vinaeza vikajitoa kimasomaso lakini kwa idadi ya majengo ya gorofa kk haina mpinzani CBDs zenu zote tatu zinakalishwa na kk kwa idadi ya gorofa zilizopo.. bisha na hii nikutie aibu
 
I have been banned more than 10 times since I joined jamii forums because of saying the truth about Magufuli. Sycophancy Tanzania iko hadi kwa private businesses no wonder the low GDP.
That's why you keep on dying of hunger and killing each other because of tribalism. It is stupidity at the highest level to kill someone just because is not from your tribe
 
That's why you keep on dying of hunger and killing each other because of tribalism. It is stupidity at the highest level to kill someone just because is not from your tribe
Don't switch sides. Magufuli is dead and he ruined Tanzania with propaganda. Talk about that.
 
ni kweli kabisa,,dawa ni kuwakaushia watu wa aina hiyo punde wanapo post vitu vya aina hiyo hiyo,,,
 
Weka wide angle unangoja nini kilaza? drop it here, Mombasa size yenu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .., zaidi ya hapa hakuna kingine Dar.., propaganda usiniletee, pelekea wenzako kule vijiweni..,


Hesabu za hizi sehemu za Mombasa na Kk uone haziachanii mbali kwa idadi, pengine muonekano tu.,
Mombasa

 
A very clear description ya Watanzania wengi hapa jf.., infact in this thread wamejazana!
 
Hiyo haifuti ukweli kwamba demokrasia Tanzania ilipungua Sana katika uongozi wake.

Swali: Je demokrasia ni "Negotiable?"
 
Dar-is-a-slum haina metropolitan area. Yani hakuna satellite urban area outside cbd ya kariokoo na posta. Ukienda mbali ni oysterbay mahali unaeza tembea kwa mguu. Huko kwingine Its just one big slum.
In Nairobi from Thika to Kitengela ni 70km na bado uko ndani ya Nairobi metro.
 
Kuna sehemu nimeandika kuwa Magufuli hakujenga nchi nzima? Ulichoandika ni full of HYPOCRISY na COWARDICE. Unaona tatizo lipo lakini unazungukazunguka kuweka hoja zisizo na msingi. Kwa nini usikubali tu kuwa uongozi wake ulikuwa na dosari?
Am liking your arguments., very objective and reasonable., not seared with blind patriotism, even though you are a patriot..,
 
We kumbe ni mpumbavu sana, tubashane kwenye ukweli sio kujifurahisha, nimekwambia 80% ya gorofa zote zilizopo kk ni 10 floors .. mbona wakenya mnapenda uongo uongo nyie, na huna aibu eti unaniita kilaza kabisa ili kutetea upuuzi wako
 
Hawapendi kusikia neno Nairobi Metro., kwao utakua umeingia mashambani ama sehemu zinaonekana uchochole tupu..,
 
kabisa yaani hakuna,upo sahihi sana sijui kwanin kwanini hiyo city ya dar iko ivo kwanini wasituige sisi wakenya venye tunafanya kwani tuko very classic kwa hii world.
 
 
We kumbe ni mpumbavu sana, tubashane kwenye ukweli sio kujifurahisha, nimekwambia 80% ya gorofa zote zilizopo kk ni 10 floors .. mbona wakenya mnapenda uongo uongo nyie, na huna aibu eti unaniita kilaza kabisa ili kutetea upuuzi wako
Weka nizihesabu na floors zote..., Dar tunaijua., deceptive perspective..,

Eti three times Nairobi.., πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..,
 
Kuona mnavyotamba na AI na ML jana nilikuta course ya IoT Microsoft wanaonesha YouTube nimeanza kuisoma it's very fan. Mdongo nitafika ML maana baada ya kumaliza kazi zangu jioni nina mda hata masaa 2 au matatu yanatosha kuangalia
nice one! Ukisema kitu kuna watu mabingwa wa kuku-count out! Kuna Deep Learning and smart Learning pia! All needs ML pia neural Network as foundation! Wakati mwingine mabifu yana enlight watu..! πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€
 
Hawapendi kusikia neno Nairobi Metro., kwao utakua umeingia mashambani ama sehemu zinaonekana uchochole tupu..,
Huko kwao 35km, half the distance away unajipata kibaha. The equivalent of a village like Kambiti along the kenol-marua highway.
 

Umetokwa povu hatari
Tazama jiji hili



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…