Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
kirigiti stadium🤗😍😍 tuonyeshwe ccm kirumba😂😂
Sasa kwann unajamba nani kakupa ruksa ya kujamba 😆😆😆😆😆😆Sasa hapo nishangae nini wakati huo ni ushauri tuu alafu UN ndio wamekosea walitakiwa kufikiria hili mapema pengine viongozi wengi wasingeenda..
Sasa unatoa statement wakati olmost viongozi wengi washafika New York itasaidia nini?
kabisa sijui kinachowafanya walale ni kipiNi kweli Kenya wanatumia rebasing kwa kujihami na kusaka mikopo but nakumbuka miaka 3 iliyopita tunatumia base year ya 2015 ..
Sasa NBS si wa rebase Ili ku update Takwimu? Tuko 2021 tunatumia base year ya 2015 Ili iweje?
View attachment 1946617
😁😁😁😁😁 Uharo mwingiAcha kuandika ushuzi wa makande wewe Mzee unanukisha jukwaa.
So kwa akili yako chato sio Tanzania au hawapaswi kupata huduma ondoa upumbavu kichwani wewe
Kwani walikua hawaingizi pesa kwa taarifa yako magufuli ndio aliewaekea mazingira wezeshi walikua wakidhulumiwa sana na kulipishwa makodi kibao yasiokua na umuhimu; tatizo lako wewe humpemdi kwa sababu kuna sehemu alikufinya kisawasawa
😁😁😁😁😁😁😁 nchi imejinyea
mkuu punguzeni makali twende taratibuwe choko picha aijafungukakwani tatizo ni gani?
Hii ni uswazi mama yangu hebu njooni muone Hili kichwa dafu 😁😁😁😁😁😁😁 wamekariri slum kwao sasa wanahisi Dunia nzima Ina slumsNi ngumu kutenganisha dar na uswazi😂View attachment 1946901
Hii ni uswazi mama yangu hebu njooni muone Hili kichwa dafu 😁😁😁😁😁😁😁 wamekariri slum kwao sasa wanahisi Dunia nzNi ngumu kutenganisha dar na uswazi😂View attachment 1946901
Zoom basi tuone 😁😁😁😁😁Niko hapa kuwakumbusha umaskini wenu😂😂😂 dont forget you are a very poor nation.
View attachment 1946899
kukopa raha sana
Tulia dawa iingie vizuri, wacha kurukaruka😂😂Hii ni uswazi mama yangu hebu njooni muone Hili kichwa dafu 😁😁😁😁😁😁😁 wamekariri slum kwao sasa wanahisi Dunia nz
Zoom basi tuone 😁😁😁😁😁
Ndio muulize makufool atakwambia😂kukopa raha sana
hujui kitu man'gaa wewe....Chato ilikuwa Kijiji si Mji! Mji kwa Geita Region ulikuwa Geita Town na ni "kurekebisha" na si "kulekebisha"! Nyeupe ibaki Nyeupe!
😂😂😂😂 leteni popcorns kuna war hukuhujui kitu man'gaa wewe....
mji mkubwa wa geita ni katoro na kutoka geita hadi chato ni masaa 3:30 au na zaidi same time dar moro au msoma mwanza
vilevile kutoka chato hadi bukoba mjini kunaumbali pia
maisha ya chato ni kama mahala pengine popote panapokua tanzania ni nini mbaya geita kumegwa ikabaki na madini na chato kubaki na uwanja mbuga na ziwa ambalo pia sio lao pekeyao
hivi mbona unaumia as if chato hakustaili maendeleo?au sio tanzania?
ukanda utakuua na maa Id yako hayabadilishi chochote ngurue pori wee
nahisi haujamuelewa geza,hujui kitu man'gaa wewe....
mji mkubwa wa geita ni katoro na kutoka geita hadi chato ni masaa 3:30 au na zaidi same time dar moro au msoma mwanza
vilevile kutoka chato hadi bukoba mjini kunaumbali pia
maisha ya chato ni kama mahala pengine popote panapokua tanzania ni nini mbaya geita kumegwa ikabaki na madini na chato kubaki na uwanja mbuga na ziwa ambalo pia sio lao pekeyao
hivi mbona unaumia as if chato hakustaili maendeleo?au sio tanzania?
ukanda utakuua na maa Id yako hayabadilishi chochote ngurue pori wee
Tanzania imefanya rebasing 2019, your GDP is just around $65 or below,.., revenue collections and income ya several sectors are evident of the size, haiwezi fika $70B hiyo ni uongo peupe, unatamani sana iwe ivyo lakini sivyo, propaganda peleka mbali, after every 5 years countries are supposed to rebase their economy to capture other sectors into the GDP according to world bank, which u obeyed, last ilikua 2014, where u rebased mkatoka kwa $30s mkaja hadi $44B., there, and then when u rebased in 2019 there was nothing meaningful to show, I remember, yaani taifa ni fukara., no additions to the GDP.., pengine muanze biashara ya gas., am sure it will add up to 20% or more.., lakini kwa sasa u maybe at %58B.., kiuhalisia.,Tanzania's GDP is above $70 bln! Just b'se hatujafanya rebasing haimaanishi kwamba tupo nyuma hivyo! wengine wanawinda mikopo ku-survive...!