The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ona CBD ilivyopauka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hicho ndicho nachomaanisha,bila shaka umeelewaWanapangwa vizuri kwa kuondolewa maeneo yasiyo rasmi ,ukisema wanaondolewa is like wanafukuzwa
ungekuwepo hayo maeneo ambayo wanasema maduka yamefungwa ningekupa offer ya kutalii Tz,,maana maduka yote hapo kariakoo asilimia kubwa watu wanaendelea na dhughuli zao yapo open monday-sunday,,,na ukiona mtu kafunga anachangamoto zake bjnafsi hivyo anakuja mwingine anarent in short huwa tunasema hakupoi akianguka mmoja kiuchumi kuna wengine laki wanaamka na kurecover palipo pwayaMaduka wamefunga wakawa wamachinga sasa hapo utanieleza tatizo ni nini
na wamachinga wakipangiwa maeneo rasmi ndiyo kabisa yaani city itakuwa cleanWakuu zikitoka picha mpya za kkoo msishangae mana kwa ss kariakoo zimejengwa residential building mpk raha na bado zinaendelea kujengwa, yn unaweza kutembea umbali mrefu kkoo wkt wa jua kali na jua lisikupate kwasababu ya majengo marefu yaliyojaa pale, subirini picha mpya ya kkoo iwastue hawa mbwa [emoji190][emoji240][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#@superpower[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haina nyama nyama (Content zero)[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ona CBD ilivyopauka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1942441
namuona @teagras akibinjuka binjuka kama bin unubi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1139][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1942449
Superpower [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Picha mbili tu hoi[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Haina nyama nyama (Content zero)[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mtake msitake Tz ndio superpower hapa East and Central Africa kwa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Central Kenya country side