joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Wacha kujiaibisha mkuuWewe matako ya ccm simian sensa aina faida kwa watz ni wazungu ndiyo wanamanufaa nayo machafu kufanikisha fitina zao africa huo ndiyo ukweli
Wacha kujiaibisha mkuuWewe matako ya ccm simian sensa aina faida kwa watz ni wazungu ndiyo wanamanufaa nayo machafu kufanikisha fitina zao africa huo ndiyo ukweli
Acha nikusaidie mbukinya,bongo pathfinder, western express,chania,orange,nyamira,kisii classic 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇View attachment 1939596View attachment 1939597View attachment 1939598View attachment 1939599View attachment 1939601
🤣🤣🤣🤣🤣Wakenya bwana🤣🤣🙂Iyo eldoret express siti zake kama umekalia mbao, ukitoka umo lazima unyokee aisee nilishawahi kulipanda ilo basii 😅😅
kweli mkuu, safi sana.Inside the BRT buses , Hawa jamaa kwakweli wameimprove sana, kwa tunaoishi njia ya mbezi ya kimara unaweza acha ndinga yako kimara ukadandia express hadi cbd au gerezani kariakoo, 25mns unatoboa km 20. Nahisi ni baada ya kuongeza zile 70 busesView attachment 1939832
Hivi kwann CCTV hamna? Tanzania tutabaki ku-react baada ya matukio mpaka lini? Ningetemea the whole of BRT kuwa na CCTV hata mabasi ndani yake!



Hivi kwann CCTV hamna? Tanzania tutabaki ku-react baada ya matukio mpaka lini? Ningetemea the whole of BRT kuwa na CCTV hata mabasi ndani yake!
Hiyo kampuni ya UDART inatakiwa itolewe!Buses zote zinakuja zimefungwa camera,
So far bado kuna incompetence sana kwenye management ya huu mradi, tangu walipoachana na mfumo wa Kadi na kurudi kwenye tickets za karatasi unaona ni watu wa aina gani. Ukitumia huu mradi unaona a lot of grey areas .. but in time they will keep improving. Kiujumla mradi uko underutilized ukilinganisha na miundombinu iliyopo.
Maeneo mengine ya kenya ni jangwa kame njaa kali sasa nani aende kutembea kule wakati tz nchi nzima ni burudani tu ,kila sehemu kunamvuto wakeKwa upande wa buses za kusini nimeziona hapo kampuni tatu kama sijakosea....
Sijaziona kampuni zaidi ya 15 kutokea kusini mwa Tanzania
Seriously Wakenya wanataka kushindana na Tanzania kuhusu Usafiri wa Barabarani!!? Asee wanaumwa vichaa wallah
We linchi kama Tanzania lenye makilometa ya mraba na barabara zenye makilometa ya kutosha ndo ufananishe na Kenya?
Hawajiulizi kwanini tuna advance sana kwenye bus stations!! Why tunajenga vituo vya mabasi vyenye hadhi ya Airports!!? hii yote kwasababu biashara ya usafiri wa barabara Tanzania inalipa na kuna wateja wengi mnooo....
Yaan Kenya you can count zile common routes
NBO - MSA - NBO
NBO - KSM - NBO
na kupitia katikati hapo kwenda Ushagoni na zile fuso zao zenye carry juu
Narudia sensa ni upumbavu mtupu huyo geza ulole ni boya mmoja tuWacha kujiaibisha mkuu
Ibra line, Super Feo, BM, Esther, Sai baba, Sauli, Kisbo, Kimotco, Tshriff, Mound, Raha leo, the list is endless.Hapa sijawaona KISBO aka FARASI
Aki hizi ngari hapandi mtu tizee.Acha nikusaidie mbukinya,bongo pathfinder, western express,chania,orange,nyamira,kisii classicView attachment 1939596View attachment 1939597View attachment 1939598View attachment 1939599View attachment 1939601
census ni muhimu na inasaidia kwenye economic planning na policy creation. Hata wewe ukinunua chakula nyumbani lazina ujue nyumbani kwako kuna watu wangapi ndio ununue chakula kiasi gani.Narudia sensa ni upumbavu mtupu huyo geza ulole ni boya mmoja tu
Narudia tena sensa ni upumbavu aina tofauti na BBI ya kenya
Serikali imeshindwa kutoa vitambulisho vya taifa hadi leo sasa kati ya vitambulisho vya taifa na sensa kipi muhimu ,maana vitambulisho vya taifa vingekamilika mifumo kabambe ya nchi ingeweza kuundwa kufanikisha maelfu ya mambo na usalama wa taifa nk
Ukweli ni kwamba vitambulisho vyataifa vina x-paya baada ya miaka 10 baada ya kukipata sasa cheni ya wasiopata vitambulisho na + watakao kuwa vitambulisho vyao vimeisha muda na + wanao fikisha miaka 18 zinakwenda kugongana unajua nini maana yake?
Naona wanawake mnataka kutupanda vichwani ngoja tuanzishe siku ya kuchalaza viboko wanawake ili heshima yetu ijulikane kwenuNa wewe kafisadi kwani hutaki pesa?
Wewe ndizi mbovu sikia, chini ya kiwango ni pamoja na pesa kuisha pasipo mradi kukamilika ,mambo ni mengi mradi wa kuchakata makinikia umesitishwa kwa sababu ya ufisadi wa mama na team mkwere sasa hivi dhahabu inasombwa kama zamani kwa jina la makinikiaOnyesha huo mradi mbovu wa chini ya kiwango? Ulitaka Alie na kima?
Hili mbona toka enzi ya Magufuli?Wewe ndizi mbovu sikia, chini ya kiwango ni pamoja na pesa kuisha pasipo mradi kukamilika ,mambo ni mengi mradi wa kuchakata makinikia umesitishwa kwa sababu ya ufisadi wa mama na team mkwere sasa hivi dhahabu inasombwa kama zamani kwa jina la makinikia