Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunaangalia quality pia, sio bei tu. Hapa Kenya kumekuwa na providers way cheaper than hiyo Tanzania lakini watu wamekwamilia Safaricom due to quality. Ndio maana Kenya inaongoza kwa internet penetration, online presence and online business hapa Afrika. Nyinyi endeleeni kushabikia cheap bundles.

Nyinyi endeleeni kushangilia expensive bundles, kwani umeskia hukuu ndio hatuangalii quality
 
Tanzanian BRT is failed system [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]


Waandishi wa habari wakati mwingine cjui ni kukosa elimu madhubuti au ni vipi, mtu anaandika kabisa basi la mwendo kasi limegongana na pikipiki wakati hiyo ni njia ya basi za mwendo kasi.

Hapo ilipaswa kuandikwa "Pikipiki yagonga basi la mwendo kasi wawili wafariki"
 
kudeal na akili za mtanzania yenyewe ni kazi......serikali hurtangaza state emergency ili kuweka nguvu zaidi kwenye hilo tatizo na wala si kuitisha usaidizi

IMG_0276.jpg
 
Waandishi wa habari wakati mwingine cjui ni kukosa elimu madhubuti au ni vipi, mtu anaandika kabisa basi la mwendo kasi limegongana na pikipiki wakati hiyo ni njia ya basi za mwendo kasi.

Hapo ilipaswa kuandikwa "Pikipiki yagonga basi la mwendo kasi wawili wafariki"
Your BRT is failed 😂😂🤣
 
Waandishi wa habari wakati mwingine cjui ni kukosa elimu madhubuti au ni vipi, mtu anaandika kabisa basi la mwendo kasi limegongana na pikipiki wakati hiyo ni njia ya basi za mwendo kasi.

Hapo ilipaswa kuandikwa "Pikipiki yagonga basi la mwendo kasi wawili wafariki"
Huwa hasomi kilichomo.

Yeye huwa kichwa cha habari kinamtosha tu!

"Walivuka wakati taa nyekundu imewaka"
 
Huwa hasomi kilichomo.

Yeye huwa kichwa cha habari kinamtosha tu!

"Walivuka wakati taa nyekundu imewaka"
Kumbe kama Kawaida yake anadandia treni kwa mbele, mm nikawa nashangaa zitagongana vp wkt BRT ipo kwenye njia yake?

Ila usimlaumu huyo pimbi ni ushamba unamsumbua, c unajua kwao hamna BRT [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom