Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
😂😂😂😂😂😂 Yaani me mwenyewe nilikua nashangaa hizi mbuzi zilivyo empty kichwani wapi na wapi? 🤣🤣🤣🤣Eti wamegundua mpesa
Yn akili ya kutuma na kupokea pesa kwa simu isianze kwa waliogundua simu na pesa ianzie kwenye njaa na elimu duni
Hako kamsemo walikuwa nako sana miaka miwili mitatu iliyopita ila now wameacha baada ya kupewa darasa na Watz![]()
Wakikuonesha sasa huyo mgunduzi unaweza zirahi 😂😂😂

