Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rayvanny in tanzania😁😁😁View attachment 1900560Rayvumbi in kenya 😂😂😂😂
2890036_IMG_20210820_223354.jpg
🙈Maajabu🔥🔥🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👊👊
 
Office of an african dictatorView attachment 1900455
Huyo alisha rest, kwa hyo unapoongelea wafu unaonesha how desperate you are, ni kweli aliwashikisha ukuta lkn ndo ameshafariki, so inabidi muachane naye tu japo aliwatesa, Magufuli hakuwa na ajenda mby na Kenya isipokuwa alitaka tu muwe na heshima mjue nani ni baba hapa East and Central Africa, sasa hayupo nasi kwahiyo pambana na waliopo muache huyo apumzike, msiweke chuki na wafu mtaonekana wapumbavu wa mwisho hapa duniani.
 
Hii picha huwa inakuimiza sn unapogundua kwamba hakuna mchanga wala karatasi yoyote inaonekana hapo na pia ukifikiria kuna successful BRT system in Afrika ina cross hapo unlike ur shit hole city yenye uchafu kushoto kulia, Wakenya oneni jinsi Watz tulivyostaarabika yn city safi kuliko usafi wenyewe
JamiiForums-2111794200.jpg
 
Yani tangu kazaliwe hakajawaji kuona nyumba ya udongo wkt kuna miji mikuu ya nchi fulani za kiafrika raia wake bado wanaishi kwenye nyumba za udongo
 
Back
Top Bottom