Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

An african president twerking on stage😂😂😂😂😂
images (10).jpeg
 
Hakuna hadithi ya downtown wala uptown hapa ustaarabu tuu ndio unatakiwa regardless ya sehemu husika
MGA199.jpg
images - 2021-08-20T214625.025.jpeg
images - 2021-08-20T214149.235.jpeg

How you guys any diffrent? Nkt grow up bana and start arguing on things that make sense not bullshit that dont add any value to anyone
 
Lazyland health minister benchmarking at kenyatta hospital.
IMG_20210820_221440_247.jpg


My take, tanzania should ask kenya to colonize them.
 
Tangu nisafiri hadi sasa nimerudi bado vitu za utoto tu ndo mnapost? Kuna ubaya gani wa a big town to have such??? Badala muongelee economical and social issues ni picha mnatafuta nkt! Nikama kazi imewakosa
Tulia Mzee umepanic 😀
 
Kenya yenyewe inayojitutumua kushindana na Tz nchi ambayo hata tusipofanya biashara maisha yanaenda, yn nchi ya ahadi yenye kila kitu, nimeona kuna kisehemu wazungu wanaandika eti per capita income ni around elfu moja na something nikacheka sana cz Watz wana per capita kubwa kuliko nchi nyingi za ulaya mana wanakula vzr kuliko baadhi ya raia wa nchi za ulaya and all this it's bcz of God given natural environment, yani niwaambie raia wa vinchi vyote vinavyotuzunguka kwamba Tz inaweza ikaishi bila Raisi kwa miaka 10 na mambo yakawa safi tu cz hii ni nchi ya ahadi View attachment 1900416View attachment 1900417View attachment 1900419View attachment 1900420
Yani mkenya na uchafu nikama Masai na sime😀
 
Back
Top Bottom