ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kumbuka wanajenga headquarters yao ya Africa ndani ya Nairobi with a bang! that should tell you somethingWewe hao AVIC wamesha ingia Dar es salaam. Tulia mtaona maajabu yao huku
hatujifanyi... ni ukweli ulio wazi.Kenya mnajifanya mnauchumi wakati uku Magari ya shule yanamatundu mpaka watoto wasiokua na hatia wanapoteza huai wao kwa kutumbukia kwenye matundu ,angalia mtoto aliepoteza huai wake leo.Shame on you.
Sent using Jamii Forums mobile app
haha... umekiche???Lol.....tunaletewa plastics pia hapa na juo. ....Hahaha
Say again...haha... umekiche???
btw, if only that Azam guy could be Kenyan.... he could be miles away. or if only he could be just a lil bit aggressive and enter the Kenyan market..... who knows?
Kenya mnajifanya mnauchumi wakati uku Magari ya shule yanamatundu mpaka watoto wasiokua na hatia wanapoteza huai wao kwa kutumbukia kwenye matundu ,angalia mtoto aliepoteza huai wake leo.Shame on you.
Sent using Jamii Forums mobile app
Said Salim Bakhresa....mwarabu ameshikilia uchumi wa LDC sawasawa. .......Lol.