Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa watu hushangaza Sana🚮wacha Ile siku Tutaanza kuutilize Jangwa yetu na kufanya canal irrigation,watakipata watajua watauzia Nani,Bado mambo Tuko under trainning na Israel na Egypt,once we catch-up Tutakuwa the leading producer of Food crops and cash crops in Africa,Just wait🇰🇪👊🔥🔥
😀 Ndoto baada ya kulewa chang'aa
 
Yaani mtaani kabisaa, sehemu regarded as low life area pako nafuu sana kuliko sehemu BRT inapitia in TZ.., Githurai 45 a low end.., outskirts kabisaa 😂 😂 😂 inaweza toa kamasi sehemu za CBD yenyu,,,.,
View attachment 1888401
Tazama sehemu BRT inapitia, huu umbali kutoka kwa CBD ni ushuzi mtupu..,
View attachment 1888408

Use the same scale in both imagery.
 




E8pAVg8WYAUgNdR



E8pAVg-X0AcpWOl
 
Back
Top Bottom