Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu kuna Fala ana linganisha forest coverage yetu na Yao wakati hata Sudan imewazidi na nijangwa
Hawa wajinga tunaweza kuwawekea vikwazo kwenye vyakula, raw materials na mazao ya misitu kama mbao na magogo na wakasuffer kweli kweli.
Kwa sababu bidhaa wanazozalisha huku sisi tunazo za kutosha ila bidhaa ambazo sisi tunazalisha wao hawana na kama wanazo ni chache haziwatoshi.
 
According to stupidi manki hao waliolala hapo wote wana nyumba ushago

giphy.gif
 
Hawa wajinga tunaweza kuwawekea vikwazo kwenye vyakula, raw materials na mazao ya misitu kama mbao na magogo na wakasuffer kweli kweli.
Kwa sababu bidhaa wanazozalisha huku sisi tunazo za kutosha ila bidhaa ambazo sisi tunazalisha wao hawana na kama wanazo ni chache haziwatoshi.
Utawekaje víkwazo kwa vitu ambavyo ndo mnategemea kutuuzia😂😂😂😂 on the other hand sisi ndo tunaweza kuwaekea vikwazo wakati wowote. Duuh, nimeanini watz wengi ni vichwa majii😁😁
 
Sasa mkiweka vikwazo vya cereals na timber mnatarajia tena mtuuzie nini😂😂
 
Polite reminder, ukiona exports zenu ni cereals na wood jua kuna kasoro😂😂
Screenshot_20210812-105239.png
 
Utawekaje víkwazo kwa vitu ambavyo ndo mnategemea kutuuzia😂😂😂😂 on the other hand sisi ndo tunaweza kuwaekea vikwazo wakati wowote. Duuh, nimeanini watz wengi ni vichwa majii😁😁
Kwani lazima tuwauzie nyie? 🤣🤣🤣🤣
Tutawauzia hata Syria 😃
 
Back
Top Bottom