Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

BTW JNIA ina runway mbili!
Hivi hapa unaona runway mbili ama ni macho hauna?

1.PNG
 
Hivi hapa unaona runway mbili ama ni macho hauna?

View attachment 1878293
chek ulivyokuwa na akili ya nguruwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kwanza jiulize kabla ya hiyo terminal kujengwa hapo kulikuwaje..?,,je kulikuwa na run way?

pia jiulize wakati terminal 3 inajengwa inamaana JKIA ilikuwa haiendelei na huduma zake kwa upande wa terminal nyingine..? au ndege zilikuws zina run way ya michanga
 
Wakunya msisahau pia tunajenga Ikulu kubwa duniani ipo pale Dodoma kwa pesa za ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikulu inasaidia aje kuongeza raslimali?
 
Kwamba hii ushaikubali au sio [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1878275
How dont you get it that having many millionaires but the gdp being low only indicates that the poor too are way too many hence dragging the GDP behind this means the millionaires are exploiting the people. If I go to Congo I exploit them and sell there Gold and denie them their cut ofcos I'll be listed as a billionaire but the population will still be languishing in poverty hence a low GDP
 
Budget yenu inayofadhiliwa over 80% au unaongelea budget gn, tena usiongelee kabisa kuhusu budget nitakuaibisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nionyeshe hiyo budget ya Kenya ambayo ina financiwa 80% nifunge account sasa hivi, sasa nani ana argue bila facts hapa?😂😂😂😂propaganda Baki nazo vijiweni your normal base😂😂😂😂, budget zimesomwa tu hivi majuzi, mliaibika humu kishenzi.., 😂😂😂😂 Mko ovyo ukanda huu.., umesahau ama tuweke hapa report zote...
 
We are doing equality not millionaires with majority being poor tuna balance hakuna anaye nyonya mwingine
Hakuna anayenyonya mwengine na over 2.5mil wanaishi kibera, at the same time over 80% ya majolity hawana ardhi.
 
Hakuna anayenyonya mwengine na over 2.5mil wanaishi kibera, at the same time over 80% ya majolity hawana ardhi.
propaganda again., 😂 😂 😂 😂 😂 unatia huruma, ni uchungu lakini itabidi umezoea.,Kilaza next point..,
 
Nionyeshe hiyo budget ya Kenya ambayo ina financiwa 80% nifunge account sasa hivi, sasa nani ana argue bila facts hapa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]propaganda Baki nazo vijiweni your normal base[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], budget zimesomwa tu hivi majuzi, mliaibika humu kishenzi.., [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mko ovyo ukanda huu.., umesahau ama tuweke hapa report zote...
National budget ksh 3trl

Total revenue collection 1.6 trl

Budget deficit 1.4trl

Where do you get that ksh 1.4trl?.
 
propaganda again., [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatia huruma, ni uchungu lakini itabidi umezoea.,Kilaza next point..,
Wewe ardhi unayo? Au unajitutumua tu hapa kwa vile huonekani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
propaganda again., [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatia huruma, ni uchungu lakini itabidi umezoea.,Kilaza next point..,
Nimecheka sana baada ya kugundua majolity mnaishi huku [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums172135981.jpg
 
Back
Top Bottom