Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
Unaelewa kwa nini Nairobi au Kilimanjaro zina runway ndefu kuliko Dar? Jibu ni altitude.JNIA has a runway ya 3000m while JKIA has 4,500m. JNIA Ni level ya Kisumu kijana 😂😂😂
Sio purchesing you baboon, ni purchasing.., kama kuandika ndio balaa ni nini unaelewa wewe? Hapa usiseme eti ni typing error, ni ignorance on display, umebonyeza neno baada ya nyingine.., afadhali ungeweka auto correct mode., nyambaff, matunda ya elimu hafifu😂😂😜What a fool ...usingie kweny ubishani ambao hata kuelewa ni ziro foool...unarukaruka kama chizi....ivi kuna faida gn ya kuwa na value alafu huna purchesing power...yani hata neno purchesing power parity unaona km ni kitu kikubwa [emoji23][emoji23][emoji23] zuzu la karne...peleka ujinga wako kibera fukara ww
so?Tenwek High School form one admission jana.., wazazi wamepeleka watoto shule..,
View attachment 1878075
we jamaa ni mshamba kiwango cha sgrView attachment 1878083
Enjoy the views from a village school.,
Mpe somo chokoraa tuu huyoUnaelewa kwa nini Nairobi au Kilimanjaro zina runway ndefu kuliko Dar? Jibu ni altitude.
Ukiwa karibu na usawa wa bahari, hewa ni nzito (density) hivyo ndege hahiitaji runway ndefu sana kuweza kupaa. Nairobi iko juu sana kutoka usawa wa bahari kulinganisha na Dar, hivyo kuwa na low air density ambayo inapunguza thrust (na lift) ya ndege kupaa haraka. Ndiyo sababu ya kuwa na runway ndefu....
External borrowing is more favourable conpared to internal borrowing this will prevent stifling of the local econony hence avoiding liquidity crunch. The good example of liquidity crunch we see in Kenya where a big percentage of local revenues are being used to service loans leaving the govt with fewer options in budget financing. Kenya at the moment cannot implement a single project without borrowing hence effectively putting the country in a debt trap.Sio purchesing you baboon, ni purchasing.., kama kuandika ndio balaa ni nini unaelewa wewe? Hapa usiseme eti ni typing error, ni ignorance on display, umebonyeza neno baada ya nyingine.., afadhali ungeweka auto correct mode., nyambaff, matunda ya elimu hafifu[emoji23][emoji23][emoji12]
So what is your point? The issue that was being debated here ilikua how your clueless govt has managed to borrow externally 71% and internally 28%., what is the economic sense in such a stupid move? argue along those lines wacha kuruka ruka na vijisababu ukionyesha mapungufu yako, mko wengi tu humu..,
ata Songwe na Mwanza airports pia!Unaelewa kwa nini Nairobi au Kilimanjaro zina runway ndefu kuliko Dar? Jibu ni altitude.
Ukiwa karibu na usawa wa bahari, hewa ni nzito (density) hivyo ndege hahiitaji runway ndefu sana kuweza kupaa. Nairobi iko juu sana kutoka usawa wa bahari kulinganisha na Dar, hivyo kuwa na low air density ambayo inapunguza thrust (na lift) ya ndege kupaa haraka. Ndiyo sababu ya kuwa na runway ndefu....
Your excuse is lame and soberless. Mombasa has longer runway than JNIA, which excuse do you have about that 😂😂Unaelewa kwa nini Nairobi au Kilimanjaro zina runway ndefu kuliko Dar? Jibu ni altitude.
Ukiwa karibu na usawa wa bahari, hewa ni nzito (density) hivyo ndege hahiitaji runway ndefu sana kuweza kupaa. Nairobi iko juu sana kutoka usawa wa bahari kulinganisha na Dar, hivyo kuwa na low air density ambayo inapunguza thrust (na lift) ya ndege kupaa haraka. Ndiyo sababu ya kuwa na runway ndefu....
Do you realize that hakuna sense umemake hapa hata kidogo? 😂😂External borrowing is more favourable conpared to internal borrowing this will prevent stifling of the local econony hence avoiding liquidity crunch. The good example of liquidity crunch we see in Kenya where a big percentage of local revenues are being used to service loans leaving the govt with fewer options in budget financing. Kenya at the moment cannot implement a single project without borrowing hence effectively putting the country in a debt trap.
Please wake up.Sasa mbn tunaongoza EA kwa miradi ya pesa nyingi, miradi ya kisasa, electrical SGR, cable stayed bridges, BRT system, biggest hydroelectric power, yn miradi yote hiyo nmetaja huko kwenu ni ndoto za alinacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]