Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa hapa wenye mandate wanasema Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi+Congo combined haziifikii Tz kwa millionaires[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1878251
Pole Sana😂😂😂👇👇


1627977530887.png
 
Wakunya msisahau pia tunajenga Ikulu kubwa duniani ipo pale Dodoma kwa pesa za ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado unaimba pambio ya kwa "pesa za ndani".., ila ukweli ni ati uchumi wenu ni hafifu, ata kushughulikia mahitaji ya budget haiwezi😂😂😂😂.,
 
Bado unaimba pambio ya kwa "pesa za ndani".., ila ukweli ni ati uchumi wenu ni hafifu, ata kushighukikia mahitaji ya budget haiwezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,
Budget yenu inayofadhiliwa over 80% au unaongelea budget gn, tena usiongelee kabisa kuhusu budget nitakuaibisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
My mother is the best in cooking mentality [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.. typical Tanzanian reasoning, usijaribu kugeuza, hiyo ni yenyu kabisa😂😂😂
 
Unaelewa kwa nini Nairobi au Kilimanjaro zina runway ndefu kuliko Dar? Jibu ni altitude.

Ukiwa karibu na usawa wa bahari, hewa ni nzito (density) hivyo ndege hahiitaji runway ndefu sana kuweza kupaa. Nairobi iko juu sana kutoka usawa wa bahari kulinganisha na Dar, hivyo kuwa na low air density ambayo inapunguza thrust (na lift) ya ndege kupaa haraka. Ndiyo sababu ya kuwa na runway ndefu....
hata hivyo runway ya JKIA ipo vizuri si ndogo,,
 
Back
Top Bottom